Mtanuonea simba ina kikosi very poor kanoute hana Quality ya kukaa kiungo simbaMgunda anakazi kubwa sana kushawishi kuwa ni kocha sahihi kwa Simba kwa hii consistence yake
Matambo pekee waliobaki nayo Simba ni makundi CAF ambayo kimsingi yanaanza kukosa mashiko kama kila mwaka tutakua tiamaji tiamaji ligi ya ndani
Simba wamekua na historia mbaya sana ya kufanya vizuri kwenye game ikiwa na pressure kama hii
Simba wakikuwahi goli utawapenda lakini wakitanguliwa wao khaaaa
ŔwswwssssssssssssssssssssßOP0PTulia ww anza maombi ya timu yako hukohakuna shida waongeze tu
ila huna timu ya ushindani, kama refa hafanyi hisani umelala yoooooooh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂 Wawatelezeshee wapi tena mkuu kwenye nyasi au?
I'm here Queen .... habari zikoje mbona kama sielewi???? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bantu lady wera a yuu. 🤣 🤣 🤣
nafasi ya wazi mnayoweza kufunga ni penati tu hizi mtahangaika sanaNafasi ya wazi tumekosa bao
SBS washalezesheshewa mafuta mkuu 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tulia bwana kanute mumuacheMtanuonea simba ina kikosi very poor kanoute hana Quality ya kukaa kiungo simba