Nakazia. 🤣🤣guvu moya naombea mtandikwe za kutosha
Leo ni leo kule Tunisia,ile fedheha ya Kipanga inawakuteni [emoji3][emoji3]hahahaha sio kwa mabingwa mara28
achezeshi sasi kuleLeo ni leo kule Tunisia,ile fedheha ya Kipanga inawakuteni [emoji3][emoji3]
huna timuHii pitch namashaka nayo
Nahisi kuna namna inayoa pasi na mfumo huu unajuliwa na wenyeji tu
Mkuu huwa nakupendeaga hapa tu yaani zikija mida za kusononeka wanakuachaga peke yako. Hahahahaaaa.Hii pitch namashaka nayo
Nahisi kuna namna inayoa pasi na mfumo huu unajuliwa na wenyeji tu
Umeisahau Azam Saa 1:00 usikuSingida Big Stars wangeshinda, baadaye na Mamelodi nao washinde