vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Gundu tayariTumpige ngapi huyu Singapore
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gundu tayariTumpige ngapi huyu Singapore
Asante mtani...... 😆
Natamani saaana kuona Simba leo anapigwa.Makombe ya Simba ndo haya madogomadogo
Mtabiri wa mchongo,,, kishayachanganya matunguli yake.Singida FG, Simba SC
which is which mkuu?
Hiki ni kikosi cha mauaji wallahLeo saa 2:15 usiku ni Singida Fountain Gate dhidi ya Simba SC katika mtanange wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi itakayopigwa leo 10.01.2024.
Tayari timu ya Mlandege kutokea Zanzibar imeshatangulia fainali.
Je, unaipa nafasi timu gani kuifata Mlandege?
Chonde chonde usikimbie baadae, baki hapa ushuhudie 'yasikitishayo 20:15 +'Teh teh.
Yajayo 20:15hrs yanasikitisha sana yaani.
All the Best Mnyama Mkali sana.Leo saa 2:15 usiku ni Singida Fountain Gate dhidi ya Simba SC katika mtanange wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi itakayopigwa leo 10.01.2024.
Tayari timu ya Mlandege kutokea Zanzibar imeshatangulia fainali.
Je, unaipa nafasi timu gani kuifata Mlandege?
View attachment 2867638
Kikosi cha Simba kinachoanza
View attachment 2867641
Kikosi cha Singida FG kinachoanza