Ushenzi wa mtu mmoja tu umekata stimu ya mamilioni ya watu
Vya kwako huwa unajificha bafuni...chura wa headKolo 0 mpaka Sasa[emoji23][emoji23]
Tatizo ni uwezo mdogo. Simba hamna uwezo ambao mnaamini mnao.
Beki alimpasia mfungajiNani tena huyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Singida pasi 3 tu wako mbele, ila hao wazee wangu mpaka wajikusanye [emoji3][emoji3][emoji3]
Umbwa nyie huo ndio uwezo wenuIla Singida wanacheza mpira Leo, khaaah
Yaan simba ndo tuna suffer hivi, Lol
Baleke yumbo ndani?Benchikha unafeli wapi. Baleke siyo mchezaji wa kucheza hii mechi. Unamuacha Chasambi au Mussa unamuweka Baleke. Hawa makocha sometimes sjui huwa wanawaza nini. Msukuma game ishamchanganya yule dogo Kazi ndo anatakiwa acheze na Che Malone.