Huoni?Kulimit vipi?? Si mmwagike wenyewe kwenye comments??..
Game fitness sasa.Nahisi atakuwepo siku hiyo kaka
Amekimbia motoHii mechi bana sasa mlinda mlango mtegemewa kakimbia usiku..sijui alitumiwa jini maimuna lenye komwe...akaogopa 🤣 🤣 🤣
Umeme umekatwa aiseeMechi muhimu sana hii
Dear Utopolo...just go on kwenye comments section jamani..weka kosi lako hapo wapambe wachezaji wako..ukiongezea na rangi ya njano na kijani kwa mbaliii...Huoni?
Hakuna details za kutosha kama anavyofanyaga Vincenzo Jr au mimi.
We provide details.
Timu yetu ni kubwa na nzuri sana.
Makolo mmekuja kutuhujumu hadi kwenye kuanzisha nyuzi.
Kwanza nimpongeze mama,hapa kwangu umeme ni WA kutosha mkuuUmeme umekatwa aisee
Hata Pacome na Yao waliumia walipokuwa wakicheza dhidi ya Azam huku wakitafuta game fitness dhidi ya MamelodiAmeshusha vyuma.
Kutengeneza game fitness
Wamezingua sana yaani kakaHuoni?
Hakuna details za kutosha kama anavyofanyaga Vincenzo Jr au mimi.
We provide details.
Timu yetu ni kubwa na nzuri sana.
Makolo mmekuja kutuhujumu hadi kwenye kuanzisha nyuzi.
Anyway, unalolitaka halitatokea.Hata Pacome na Yao waliumia walipokuwa wakicheza dhidi ya Azam huku wakitafuta game fitness dhidi ya Mamelodi
Ila sasa hivi naona kocha kaweka pacha ya mkude na aucho nahisi ata tarehe 20 ata anza hivi hiviGame fitness sasa.
Hajacheza muda sana
Waache hujuma zao hazitafanikiwa.Wamezingua sana yaani kaka
Mtani umekasirika ka uzi ka paragraph moja?? Eti mtanange wa sport pesa hahhahahahhaahha 🤣 🤣 🤣Wamezingua sana yaani kaka
Mtatusimulia itakavyokuwa.Ila sasa hivi naona kocha kaweka pacha ya mkude na aucho nahisi ata tarehe 20 ata anza hivi hivi
Kaka angalia kwenye Azam maxMtatusimulia itakavyokuwa.
Imetokea bahati mbaya niko nje ya Tz kabisa.
Labda kama kuna YouTube channel itakayorusha hii mechi
Mfumo wa Nabi ndio ulikuwa haumpi nafasi Aziz Mayele ye alikuwa anatimiza majukum yake vizuri snaMayele alikua anaiba nyota ya Azizi ki
Kaondoka Ki anawaka kama Mbalamwezi🤸♀️