πππUtazipata hadi Sasa Mzize kakosa clear chance kama kawaida yake
Piga nikupigeUtaniita...hahaha
Aiseee tushakosa kandanda safiYamejaa bonge la mvua mwanza sema ndio vile wananchi wameenda hivyo hivyo ku support life
It's impossible for Yanga to lose this match.... we'll even use hand goal to winTutawajoin mkipigwa na kudrooo dear Utochura....like we did for Masandawane...
Yah mpira utakuwa papatu papatu ila Yanga wanajitahidi kuutuliza ili watoe burudani kwa watazamajiAiseee tushakosa kandanda safi
Kelele we Masandakolozidad [emoji35]Tutawajoin mkipigwa na kudrooo dear Utochura....like we did for Masandawane...
Ni kipimo Cha utendaji na ubunifu wa watanzaniaHivi CCM hawavioni hivi viwanja kweli? Viwanja vinajaa Maji na kuharibu utamu wa ball.
Washakula ukoLiverpool π
ππ Beki inakatika.Kwa Malkia kule Liverpool washaitwa Kati πkwel bao la kwanza halina ufundi
Wamekoswa cha piliWashakula uko
Ngapi ngapi?Mechi muhimu sana hii
Jamaaa nae hakuupiga kwa nguvuππ Beki inakatika.
Unaona huo mpira umetolewa kwenye mstari kabisa.