Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Walikuwa wanatafuta pumzi kidogoMpira haujaisha hata mie naona kuna kuridhika kwa Simba. Kuna dalili ya kuchomoa hawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikuwa wanatafuta pumzi kidogoMpira haujaisha hata mie naona kuna kuridhika kwa Simba. Kuna dalili ya kuchomoa hawa.
Hata mechi ya yanga alibahatisha tuOffen Chikola ni MwanaUbaya Ubwela..!
Mbona Leo hana madhara?
Haya malalamiko pelekeni caf, si injinia yupo kuleMakolo bila refa hamna timu, na derby watakaa, yaani no contact refa kafunika penati , rafu kabla ya kupokea mpira refa kapeta Ateba akafunga, beki kacheza mpira refa kafunika faulo sehemu ya hatari, Tabora wakiondoka mshika kibendera Fatma alichoambiwa ni kuinua shuka juu tu, hii ni aibu kubwa, hawa marefa wataishia NBC premier league tu!!
Mlungula wa refa uko laivu Ally Hassan Mwinyi , mbeleko FC ni aibu kwa soka letu!!
Yacouba na Makambo injini za Tabora United msimu huu leo wamewekwa jukwaani, kweli simba bingwa wa mechi za nje ya uwanja! Ila ni mbio za sakafuni tu, Yanga bingwa tu!
Kisa Yanga kuongoza ligi, simba lazima ibebwe kila mechi ila tarehe 8 tutawakanda na kukaa kileleni bila bugudha. Yanga ina intensity hatari mnyama lazima akae kibla achinjwe!
Kadi yake ni namba ngapi?Offen Chikola ni MwanaUbaya Ubwela..!
Mbona Leo hana madhara?