manning
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 5,078
- 11,930
Tumeshalipiza kipigo Cha my wetu🥰La 3
Goooo show me the way,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeshalipiza kipigo Cha my wetu🥰La 3
Goooo show me the way,
Fuatilia uone Simba wanapopoza mpira hali inakuwaje.Hiyo ni mbinu ambayo Fadlu anaifanya, zile dk 10 hadi 15 baada ya break huwa anawaambia wachezaji wapooze mpira hasa akiwa anaongoza kwani anajua mpinzani atakuja kwa kasi second half
Hivyo anaiweka team kwenye slow motion and defensive mode kwa muda mchache.
Mkuu zile mbio mle unafikiri unaweza kukimbia speed dk zote 90? Si utafia uwanjani?Fuatilia uone Simba wanapopoza mpira hali inakuwaje.
Mkuu bila shaka upo unatumia vinywaji changamshi raiti nao😆😆😆Watu Wana bikiriwa bila KIRAINISHI... ni samehewe kwa lugha zenye ukakasi.
,😊😊☺️☺️☺️
🦖🦕 Mkuu nipo sebuleni kwangu nipo alone,Mkuu bila shaka upo unatumia vinywaji changamshi raiti nao😆😆😆
Uko sahihi. Labda tumpe muda ila haelekei maana mpira wa Chama ni matunda ya akili yake siyo miguu yake.Bado hatujapata mbadala wa Chama. Ahoua ana makosa makosa mengi mno.
Huu ndio ukweliUkitaka kuzifunga Simba na Yanga usipige kelele nje ya uwanja.
Wakishaipa uzito mechi hutoboi.
Ona makelele kibao yanapigwa kama watoto.
Kweli, ngoja tuone kocha na bench la ufundi wataamua nini.Uko sahihi. Labda tumpe muda ila haelekei maana mpira wa Chama ni matunda ya akili yake siyo miguu yake.
Kolo Ikijipata + mbeleko = bingwa wa duniaDah, Yaani hii burudani hapa inatolewa na timu ambayo Haina Muunganiko.! Inayojitafuta..! Ambayo Kocha bado hajapata first eleven..!
Nauliza Hawa SSC Wakipata Muunganiko au Wakipata first eleven au Wakijipata itakuwaje?