Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni point, Tazama walivyowapiga Uto, hata hakukuwa na makelele kablaUkitaka kuzifunga Simba na Yanga usipige kelele nje ya uwanja.
Wakishaipa uzito mechi hutoboi.
Ona makelele kibao yanapigwa kama watoto.
Hahaha ndio argument zao hizi tunakoelekea hahah.Simba anabebwa, kwa nini Kapombe acheke baada ya kufunga?
Anatoaga maboko na izo back pasi zake.Hizi back passes za Che Malone nna wasiwasi nazo sana.
Hiyo ni mbinu ambayo Fadlu anaifanya, zile dk 10 hadi 15 baada ya break huwa anawaambia wachezaji wapooze mpira hasa akiwa anaongoza kwani anajua mpinzani atakuja kwa kasi second halfKuna relaxation Simba wameingia nayo hiki kipindi cha pili. Ni kama wamewaona ni timu ya kawaida. Kuna wakati benchi la ufundi letu linajisahau pia.
Refa anapendelea kweli. Kapombe pale alikuwa ameotea, afu simba wanashambulia wengi 😂😂😂😂😂😂
hi✋Simba wamelipiza zile tatu za watan wao [emoji4]
Kwa bahati nzuri sana mimi pia ninamshangilia yeyote anayemfunga Koło 😀Kiukweli mimi ni shabiki wa Yanga na timu yoyote itayocheza dhidi ya Simba. Kiufupi hata ikitokea hawa mabinti wa JF akina binti kiziwi na Bantu Lady wameunda timu yao wakacheza na Simba mimi nitawashangilia tu.
Nafurahi zaidi Simba wanavyofungwa kuliko Yanga wanavyoshinda.
Ilikua kama suprise. Wenye uwezo wakuzifunga hizi timu zikiwa zimejipanga full mkoko ni timu za nje tu.Hiyo ni point, Tazama walivyowapiga Uto, hata hakukuwa na makelele kabla