FT| Tabora United FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Ali Hassan Mwinyi Stadium | 02-02-2025

FT| Tabora United FC 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Ali Hassan Mwinyi Stadium | 02-02-2025

Kuna relaxation Simba wameingia nayo hiki kipindi cha pili. Ni kama wamewaona ni timu ya kawaida. Kuna wakati benchi la ufundi letu linajisahau pia.
Hiyo ni mbinu ambayo Fadlu anaifanya, zile dk 10 hadi 15 baada ya break huwa anawaambia wachezaji wapooze mpira hasa akiwa anaongoza kwani anajua mpinzani atakuja kwa kasi second half

Hivyo anaiweka team kwenye slow motion and defensive mode kwa muda mchache.
 
Kiukweli mimi ni shabiki wa Yanga na timu yoyote itayocheza dhidi ya Simba. Kiufupi hata ikitokea hawa mabinti wa JF akina binti kiziwi na Bantu Lady wameunda timu yao wakacheza na Simba mimi nitawashangilia tu.

Nafurahi zaidi Simba wanavyofungwa kuliko Yanga wanavyoshinda.
Kwa bahati nzuri sana mimi pia ninamshangilia yeyote anayemfunga Koło 😀

Sijui kuhusu BL eti Bantu Lady unasemaje dada.
 
Mavambo Fernandez na Joshua Mutale in
Ngoma and Mpanzu out
Dk 72
0-3
 
Back
Top Bottom