Nachokiona hapa ni matatizo ya kiasili yanayotokana na utanzania
Hiki kimakonde au kimakuaMlongo wangu, apu hinu ye taifa starz yikita chindu gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutawatandika Congo
Angalia kwa app ya live sports ipo play storeMbwaaa wamechukua umeme
Leo kidogo wanacheza mbele wamesikia keleleNgoja nilale mambo ya hili litimu nisije nikapata pressure
Anahisi yuko kuitumikia Yanga hapo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii tabia ya Mamnyeto kuongoea na refa sana kuliko Captain Aliitoa wapi?
🤣🤣Wanavyoingia haraka haraka kama huwajui unaweza sema wako serious na game!!!
Kama pazia la chooni mwamnyeto unafunua tu uikitaka kwenda kujisaidiaShida wachezaji wa SSC
Umeme sehemu kubwa hamnaMbwaaa wamechukua umeme
By the way capacity ya uwanja huu ni watu 20,000Aha kumbe mechi iliyopita ilikuwa hapo hapo. Hapo sawa ila bado idadi ni kubwa kwa timu hizi