ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Yalikuwa yamevimba kulinda goli. Hayana maarifa wala mipangoWashenzi wakubwa hao pamoja na makocha Yao , pumbavu zao Bora ufinge ukitafuta magoli kuliko kupaki basi sijui uvumbue nini kwenye mechi ya uamuzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huku ndo nliona kwenye uhakika.Unge bet kwa Morocco na Zambia huko, hahahaa
Tatizo kubwa naloliona kwa timu yetu ya Taifa ni wachezaji kujisahauTanzania hatuna kabisa uwezo wa kutengeneza winga na washambuliaji, hili ni tatizo kubwa, na ni kwasababu washambuliaji wengi na mawinga kwenye ligi yetu ni wageni.... Ila kwenye viungo na mabeki tupo vizuri, tatizo linaanzia hapa...
Madogo wapo wengi sana shida hamna academies.Hivi tanzania nzima hamna vijana ambao wanajua kucheza namba za washambuliaji
Hakuna makocha hapo ni wahamasishajiKuanzia makocha na uongozi wote wapuuzi tu
Yaani mashindano toka yaanze hakuna on target upuuziHakuna mpira mwingi na washenzi tuu wanapaki basi
Tulia wewee nyauBora ushabikie bange zako kuliko hili litiimu hata kosi la The Mongolian Savages haiwezi kufungwa na litimu hili..
Yaani unakuta kabisa huu mpira ni wa kwenda mbele, mtu anarudisha nyuma, shida hii ya kujua kucheza mpira ukubwani.. ukigeuka umegeuka ukirudi umepiga kiatu na mpira unao ww na unasababisha mpira wa adhabuTatizo kubwa naloliona kwa timu yetu ya Taifa ni wachezaji kujisahau
Hili jambo nimekuwa nikiliona linafanyika sana Simba lakini nimekuja kugundua kuwa ni nature ya watanzania
Timu ikishapata goli basi hapo ndip mwanzo wa show game, husling zinapungua ma masihara yanashika hatamu.
Kingine ni kutojiamini.
Haiwezekani katikati ya uwanja unashusha back pass ndefu hadi kwa kipa, hiyo ndio inayotufanya tuone tunamiliki mpira kwa asilimia kubwa kuliko mpinzani, wakati umiliki wenyewe tunaufanya tukiwa kwenye eneo letu.
Hapana, tulianza kubugi kwa tff kutupa koçha muhuni , tulianza kujishtukia mechi ya zambia ila tuliteleza ..Tokea mechi ya zambia tulibugi
Naomba tu azime simu mbona ghetto litakuwa chungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu hii pesa atailipiaa, atake asitakee.
Pesa yangu huwa haipotei buree, na uzuri Ali bett yeye, mie pesa nlimpa, ko atairudisha km ilivyo.
Sub ya Mzamiru ulikua ina umuhimu gani?Yaani Mkuu Moroko na Mgunda Kwako Wewe Sio Makocha..?
Nchi hii ngumu..hamuamini eeh..!
Ntaendelea kutofautiana na wengi angekuwepo yule kocha mwarabu hizi mechi mbili tungeshinda hawa wazawa hawana maamuzi,tulishawabana kocha baada ya kuongeza washambuliaji unaingiza wa kulindaHakuna makocha hapo ni wahamasishaji
Hiyo ni timu au kituko? Kwanza Leo ni mara ya mwisho kuangalia upuuzi.Bado sijashawishika na stars mpira mwingi bila malengo
Yaani mashindano toka yaanze hakuna on target upuuzi
Nimeangalia hiyo timu yenu mnaita ya Taifa Leo Kwa mara ya mwisho,sitokaa niangalie tena hata hiyo 2027,najua 2025 hamtafuzuYalikuwa yamevimba kulinda goli. Hayana maarifa wala mipango
Next time Tanzania tupeleke Wanajeshi wa JWTZ wenye Uchungu tukuka na Uzalendo ili waipiganie na waipambanie nchi.Leo Jumatano 24.01.2024.
Tanzania (Taifa Stars) Tunatupa karata yetu ya tatu katika Mashindano haya ya AFCON 2024 kumenyana na Timu ya Taifa ya DR congo mechi ni saa 5 usiku mungu ibariki Tanzania
Kikosi cha Tanzania
View attachment 2881901
Kikosi cha DR Congo fiston mayele kaanza leo
Mpira Umeanza...
Tanzania ndio tumeanza ball hapa.
Dakika ya 5
Tanzania 0-0 DR Congo.
Dakika ya 10
Tanzania 0-0 DR Congo.
Tunaupiga mwingi
Dakika ya 28
Mayele kakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 30
Kona DRC wanapata Kona
Dakika ya 45
imeongezwa Moja hapa ya niongeza
View attachment 2881904View attachment 2882003
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 58 tunashambulia sana tunakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 60
DR Congo wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 67 congo wanafanya mabadiliko ya wachezi 2 mayele anakwenda nje bakambu anaingia
Dakika ya 71
bado ni 0-0
Tanzania tunafanya mabadiliko anatoka himidi mao anaingia mzamiru yasini
Dakika ya 72
DR Congo wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 76
Samatta kachezewa rafu tunaupiga mwingi sana hapa
Dakika ya 77
Congo wamekosa goal la wazi manula katoa mpira wa hatari sana nusu uingie kambani
Dakika ya 78
Feisal Out Kibu In
Dakika ya 81
Bado ni 0-0
Dakika ya 84
DR Congo wanakosa goli la wazi wissa anapaisha mpira
Dakika ya 85
Tanzania tunafanya mabadiliko anatoka msuva na samatta anaingia Charles muhombwa na morice Abraham
Dakika ya 88
Tumekosa nafasi ya wazi
Dakika ya 90 zimeongezwa dakika 4 za niongezaView attachment 2882019
Kwani hii ya DRC tumefaulu Kwa lipi? Nimegundua kitu Kimoja Waswahili wakisikia watu wanacheza Ulaya au kuona ngozi nyeupe mavi yanaginga chupi wanaahindwa kujiamini.Mechi ya Zambia ndiyo ilikuwa inatubeba tukashindwa kulinda wala kuongeza goli.
Uchezaji na matokeo ya leo yangekuwa na tija kama kikosi kingekuwa serious mechi ya Zambia.