Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Na ina waislamu tupuTaifa Stars wapo vizuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ina waislamu tupuTaifa Stars wapo vizuri sana.
Ww waache wanacheza rafu tu tena rafu za kuingia miguu yote.Kuna dalili za kadi nyekundu kwenye hili game.
Taifa Stars waache kucheza kama wapo kwenye Ndondo Cup.
Ujinga ule hauvumiliki, mpira ambao anatakiwa aufiche yeye kautema. Unafanyake makosa kama haya ukocheza na timu kama morroco?Sijaona kosa Pale
ametema mpira unnecessary, alafu yule sharobaro wa ARusha anayecheza Ukraine na himid mao, leo wanaweza kupata kadi nyekundu.Sijaona kosa Pale
Hapo nilikuwa nampa kongole kwenye ile attempt ya kuokoa mpira ambao ulikuwa unaenda nje na kusababisha kona kwenye lango letuAngefanyaje Mkuu? Kapotea maboya akajirekebisha kumbe kamwagia ndani.
Yaan stars wamaleta shambulizi sana kwetu, LolHpn haizid tatu
Na red card inanukiaTukifanya mchezo tunaweza kufungwa magoli mengi hapa ikawa aibu. Tunaruhusu mashambulizi sana...
Hawana malengo, wanacheza kwa woga sana sijui tatizo niniSielewi Taifa Stars wacheza kwa malengo yapi.
Kila wachezaji wa nyuma wakipata mipira waibutua bila malengo ya kutoa pasi au vipi.
[emoji23][emoji23][emoji23] possession back pass ndani ya kumi na nane, possession isiyo songa mbeleMpaka dk 20 hatuja pasuka kweli tunatimu Bora, mwarabu akifanya mchezo tunampasua... possession hiyoo inanipa Amani.
Acha mambo yako naniSimba simba mmetuangusha