Huyo Diarra kaficha ngapiii? Leo kipa mnamuonea, wachezaji wa ndani ni mizigoo.Ile faul ongekuwa Diarra angeificha! Haikuwa kick ya kuitema tuongee ukweli cha kushangaza yeye kaitema! [emoji119]
Uzio wao wa mabua...Mwanyeto na bacca leo hawaonekanii km wao ndo wanao imbwa hapa nchinii, maana kwa Zimbwe hatushangaii kila siku wana mnanga.
Nashangaa kwa askari wa JKU [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatujacheza vzr sema tumeweka watu nyuma kujilinda ambayo pia haijazaa chochote tumefungwa.Nyie mnaoilaumu Stars mnadhani kuna kitu watafanya zaid ya walichofanya 1H?
Shida mna expectations kubwa
To me wamecheza vzuri tumepunguza magoli
Sasa mtu mnalaumu kocha
Timu nzima mchezaji ni samaatta na Novatus dismas
Wengine woote hamna kitu
Morocco wana mtu anaanza PSG, wana mtuu anaanza Sevilla, wana mtu anakuwa kwenye rotation man united
Wana mtu anaanza bayer munich
Mnataka nini watanzania
Daa. We jamaa. Ila ni ukweli mchungu, wacha tuumeze tu kama dawa.Kwangu mimi wakifungwa chini ya 2 goals wamejitahidi
Mnataka mchange history na nan? Haji mnoga?😂😂😂 acheni utani waheshimuni morocco
Huyo ni Utopwizo aliekubuhu...Huyo Diarra kaficha ngapiii? Leo kipa mnamuonea, wachezaji wa ndani ni mizigoo.
Kwanza mbna kajitahidi, kuna saves 2 za Ziyech kazifanya hilo huoni?
Hao ni waswahili.Sioiliza TV tbc wanawapongeza kwa kuppunguza magoli
Ni kama Ile aliyopigiwa Ayubu Rioba na Tepsie Evansi!Ile haikuwa freekick ya kutema, tuongee ukweli
Sasa si tutaangalia wamefungwaje, khaaaahKwahiyo huko kwenye timu ya mali wakifungwa utasemaje?
Wachaaabanaaa yule mpiga ramli wa stars eehMtoto wa bongozozo
View attachment 2874772
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kosa la mabeki, lawama kwa Manula khaaahUzio wao wa mabua...
Ni aibu,hapo mchezaji aliyeonesha uhai Ni Bacca.Timu ndogo zote zimeonesha kukaza isipokuwa hawa wathenge.