Afanyejeeeeee? Mabeki wamepoteanaaaa kabisaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua kama Kipa yeye anaona vizuri mpango wa mabeki.

Naona hana juhudi kabisa za kuwapanga mabeki
 
Huwa kwenye ligi ni foreigners wanaibeba nchi, otherwise locals hamna kitu.
 
Hivi huyu kocha hajui kuwa kama kuna mchezaji kashapewa kadi ya njano kwenye mechi kama hii ni kumtoa ..ni risk kumwacha aendelee kucheza ...
 
Over imetoa, sijui GG kama itatoka!
 
Swala sio stars kushinda ukweli ni kwamba sioni spirit kwa wachezaji wa stars wanaoweza kujituma kupambania ushindi kina samata wenyewe wamelizika hatar bora kocha we2 kishajitetea mapema ye hataki ushindi anataka uzoefu [emoji23]
Hamna spirit kabisa.

Ni kama wachezaji wamekusanywa kitaa wakaambiwa njoo mcheze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…