Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za MchongoStars piga moroco 4
Unajua kama Kipa yeye anaona vizuri mpango wa mabeki.Afanyejeeeeee? Mabeki wamepoteanaaaa kabisaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamekuja wanacheza rafu za kiboya boya sana.. Yan ningeshangaa sana tungemaliza bila kula umeme watu wanaingia uvunguni tu bila hta sbb za msing.Nakazia
Hili kombe mwaka huu halina mwenyewe naomba Stars mcheze kama mmetumwa na kijiji tunachukua hii ndoo.
YouTube wanazingua?Mwenye link anipe YouTube wanazingua
Za kula Bata hakina MwijakuZile Billion 6 zilikuwa za nini??
Huyo Zambia atawapasua na hamtaamini.Wakuu inabidi mnyonge wetu Zambia tumpige Goli 4
Hakika.Kichwa cha mwenda wazimu kinacheza leo, zikipungua sana 3
Bado 3-0 jamaa wanataka watupige 8Huwa kwenye ligi ni foreigners wanaibeba nchi, otherwise locals hamna kitu.
Haha hahahaMorocco 2-0 Kizimkazi Stars
Hamna spirit kabisa.Swala sio stars kushinda ukweli ni kwamba sioni spirit kwa wachezaji wa stars wanaoweza kujituma kupambania ushindi kina samata wenyewe wamelizika hatar bora kocha we2 kishajitetea mapema ye hataki ushindi anataka uzoefu [emoji23]
Walijua wapo NBC PL refa Kayoko atapetaWamekuja wanacheza rafu za kiboya boya sana.. Yan ningeshangaa sana tungemaliza bila kula umeme watu wanaingia uvunguni tu bila hta sbb za msing.