Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Wanajifariji tuu na beki lao la kuchomesha...Una chuki binafsi na manulaa, kwenye ukweli kuweni waziii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajifariji tuu na beki lao la kuchomesha...Una chuki binafsi na manulaa, kwenye ukweli kuweni waziii.
Umegundua kitu refa mshenzi sana kaitengeneza ile red cardKwanin aligoma kwenda kujiridhisha VAR
Kabisa mtani sio powa ile unaambiwa wachezaji wa Simba sc walikuwa hawaoni vizuri Kila wakipata mpira wanaona nyuki 🤣😂😁😁Si unaona alikua na maji yake ananyunyuzia?? 😀
Manula alishakufa 5 wewe usijifanye umesahauWanajifariji tuu na beki lao la kuchomesha...
Tuendeleee kuzagamuana tuTangu lini wabongo mkajua kucheza mpira ninyi , kanengueni viuno tu ndio mnaweza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na mida ndo hiiTangu lini wabongo mkajua kucheza mpira ninyi , kanengueni viuno tu ndio mnaweza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kadi nyekundu kwa Himid Mao Refa kaachia tyuuh, ila ilitakiwa 1St half awe ashakula umeme.Kadi nyekundu ndio imeharibu kila kitu km umefuatilia mchezo kadi nyekundu imezaa Goli 2 zile
Nakuunga mkono mkuu ulisemaLAANA YA WALE VIJANA HAITAWAACHA TFF NA WENZIO HUKOO IVORYCOAST
NILISEM A NANARUDIA KUSEMA VIJANA WAMETESEKA WAMEHANGAIKA KUIFIKISHA STARS HAPO ILIPO MNAENDA KULETA WAHHUNI WA BOLIZOZO
MUNGU ANGALIE HAI HATA MECHI IJAYO
MNAPIGWA 3
INAYOFWATA 3
NKKOHAPA
LEO NILIWEKA THREADS KABISA WEKA MOROCO WIN NA GOLI TATU
NA MECHI IJAYO NAWAFWATA HIVIHIVI NA MUNGU ALIE HAI AKAWANYOOSHE
MMETIA AIBU
Ni muhuni yuleYule refa kamtolea macho Zimbwe na Ninja km angekua na Sime pale 🥶
Nishakujibu huko juu...tano za kichawi ss hazitushtui..Manula alishakufa 5 wewe usijifanye umesahau
Jamani var sio kwa kila tukio...wamesema var ni kwa atraight red cards. So either pale refa anatoa staright red ambayo sio sahihi au anatoa kadi ya njani kwa foul ambayo inastahili kadi nyekunduKwanin aligoma kwenda kujiridhisha VAR
hakuna siasa wala nini kiufupi hatuna vipaji vikubwa mbili hatuna wachezaji wenye makuzi mazuri ya kisoka mfano kama haji mnoga ni mchezaji hana kipaji kikubwa ila anaonekana ni mtu ambaye ana makuzi bora ya kisoka mcheki haji akienda kukaba ata kama atatumia Nguvu ila anahakisha hawezi kufanya hatari itakayopelekea Red card Cheki Novatus anacheza faulo bila hata tahadhari hawazi kama kuna kadi nyekundu wala njanoAsante sana
Ccm imefungwa, watched kuchanganya mpira na siasa
Kaka si nilikwambia tunafungwa ukaona sie wengine washamba, haya na ujanja wenu mmepata nini leo?Hawana hoja...
Mkuu academy zimejaa rushwa si kidogoKizimkazi badala hiyo pesa ajenge academy yeye ananunua magoli 😄🤣😄
Hata mim nimemshangaa sana kochaUwezo wa kocha ni Mdogo sana .
1. Unacheza na Morocco unaweka backline 3 na midfield 4 ????
2. Mchezaji ana kadi na anafanya faulo Mara kwa Mara anashindwa kumtoa mapema kwa tahadhari?
3.Wachezaji wa nje hawana msaada wowote kwa timu wamejaza nafasi za bure.