stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Imeuma chomoa MaikiNishakujibu huko juu...tano za kichawi ss hazitushtui..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeuma chomoa MaikiNishakujibu huko juu...tano za kichawi ss hazitushtui..
Kwani nyie hamlogi jamani? Ata stars leo wameroga ila ndio hivyo hamna tantalila kwenye mpiraNishakujibu huko juu...tano za kichawi ss hazitushtui..
Team inaenda na mwijaku, baba levo,.[emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787]Sema timu yetu inachanganywa na siasa ndo maana mambo ni mengi sana
Tusilaumu Wachezaji hata vipaji hatuna , wachezaji wa kuokoteza unatarajia miujiza gani?Tulishakubaliana hakuna tunachokiweza sasa mnalia lia nini hapa.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Umegundua kitu refa mshenzi sana kaitengeneza ile red card
Usilazimishe maumivu bro ambayo hayapo...Imeuma chomoa Maiki
Mbona backline ilikuwa wanne jamani midfield watano.Uwezo wa kocha ni Mdogo sana .
1. Unacheza na Morocco unaweka backline 3 na midfield 4 ????
2. Mchezaji ana kadi na anafanya faulo Mara kwa Mara anashindwa kumtoa mapema kwa tahadhari?
3.Wachezaji wa nje hawana msaada wowote kwa timu wamejaza nafasi za bure.
Wameenda kujifunzaKocha alisema hatujaenda kushindana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata ningekua nabett mwenyewe kuiua staz ni lazimaaa.Aliiua timu ya taifa ???[emoji23][emoji23] huyo ba tamu achana nayo
Huyo kwa leo namtetea ila siku ile ya mechi na Uto alikua anaona matufe sio mpira huu...yani pale palikua pamegeuka kilingeni... [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kibabage ana kitu gani cha ajabu si ndio awao awao wamekulia morogoro humo anauwezo gani wa kuwachalenji wachezaji waliokulia kwenye ma academy makubwa ya kisokaHivi mnawaacha akina kibabage mnaweka akina zimbwe
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Uchawi si hauvuki maji nasikia..ndo maana Simba na Yanga zikatolewa kizimkazi..hahaaaKwani nyie hamlogi jamani? Ata stars leo wameroga ila ndio hivyo hamna tantalila kwenye mpira
Handsome bwoiiiiii.
Kwa hio bado unataka kuchomeka MaikiUsilazimishe maumivu bro ambayo hayapo...
Maiki iconect na bufa itoe mlio heavy...
Mambo mengine nikunitakia kifungwa tuuTeam inaenda na mwijaku, baba levo,.
Sasa hamasa zenyewe mbna hatuzionii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu laana ya kuleta hao 🌈 kutoka Ulaya badala ya Vijana Wetu waliopigania Nchi.Wangedai mama sijui kafanya nini siasa mbaya