Kwahiyo daladala za gomz unatuachia wenyewe 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu lazima niruke nae, huenda ndo ikawa ticket ya kutokaa bongo, unashangaa ananibebaaa mambelee
Uduguu fursaa kuifataaa, haijiletiiiiii mweeeeh
Mchawi mtu paka anatumwa tu 🤣🤣🤣🤣Jamaa aliponiona eti ndio akazidi kukodoa macho zaidi ili nimuangalie na Mimi unipate vizuri
Sasa namba uhakika hilo sii jukumu lake kocha kuona kuwa huyu hanifai. Its all down to selection...kama anapangiwa nani aje kikosi cha timu ya taifa basi hamna haya ya kuwa nae bora tuwe na mzawa tuuSasa kama ni kweli.
Na ujue bongo kwa watu kama samata, msuva namba ni uhakika
Tungeelekeza nguvu kwenye hayo mambo mawili aisee tungetobla kimaisha hasa ngonokichwa cha mwenda wazimu
ngono na wizi ndiyo fani yenu nyie Stars CCM
Hahahahaaaaaa ...anakuonaaaTungeelekeza nguvu kwenye hayo mambo mawili aisee tungetobla kimaisha hasa ngono
Fabo tuwaachie wenyewe sie hatupo serious bwana. Wee ata copy and paste inatushindaHahahahaaaaaa ...anakuonaaa
+ kubetTungeelekeza nguvu kwenye hayo mambo mawili aisee tungetobla kimaisha hasa ngono
Basi tufanye mlifungwa 2-0.Naona kama mfungaji wa goli alikuwa amewazidi mabeki wote kabla ya kupewa pasi aliyofunga go
View: https://youtu.be/87IzT8PazGw?si=8PZAktO84i6kj7RZ
Duuh mm ni Mtanzania kwa sasa...hahahaMbona mapema mtani congo uwacheki🤣😂😁
🤣😁Duuh mm ni Mtanzania kwa sasa...hahaha
Kwahiyo tatizo ni mabeki ndio waliochangia usipigwe mpira wowote uliolenga lango?Nilifikiri ungetoa hoja, kumbe unakimbilia jinsia, poleee wee
Mpira ni mchezo wa wazi na haujifichii, punguza mahaba.
Wachezaji wa ndani leo hakuna kitu, hasa mabekii.
Ni kweli moroco ni timu bora lakini tumeona timu nyingine bora kwenye maahindano haya zikiambulia sare au kufungwa . Kila timu imejiandaa vyemaYaani Taifa stars ishinde dhidi ya Timu ambayo ilicheza robo fainali kombe la Dunia na ikaibuka kidedea mbele ya Portugal yenye wachezaji mahiri kama Cr7,Jota,Bruno Fernandes na wenzie wengi ambao wametoka vilabu vya uingereza!
Hivi watz huwa mnawaza kupitia akili za wapi?
Mpira siyo janjajanja..
Tz tunachoweza ni kupiga mdomo tu,mpira bado hatuuwezi.
Sent using Jamii Forums mobile app