Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kwamba taifa stars ilijiandaa vema kumfunga Morocco!Ni kweli moroco ni timu bora lakini tumeona timu nyingine bora kwenye maahindano haya zikiambulia sare au kufungwa . Kila timu imejiandaa vyema
Kwahiyo Tanzania ilikuwa inachuana na kipa aliyepangua vichwa vyote vya kina Cr7Coca hebu tusigombane bure, chuki hizo na Manula kwa kitu gani? Sina mambo ya Uyanga kwenye timu ya Taifa ndio maana unaona hakuna nilikompondea mchezaji yeyote wa Simba.
Sio lazima tukubaliane, hivyo ni vyema kuheshimu maoni ya wengine.
Mbona mimi sijakuvaa unavyoponda beki zilikuwa hovyo? Tena umeweka wazi kabisa ni beki za Yanga Bacca na Mwamnyeto...
Tunaweza Kupiga mdomo na kupiga pesa za umma baaaasi
Tutapigwa SanaWanacheza tena na nani?
Watolewe tu mapema,taifa lisiendelee kupoteza fedha kwenye vutu vya kijinga.
Naombea mechi zote Taifa Stars ifungwe.
Zambia na DRC wapo moto,Zambia siyo wazuri sana ila Golikipa mzuri
Congo kocha wao kiazi
Hakuna timu yati ya hizi utaweza kufungwa na Taifa Stars.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale ndo takataka kabisaOndoeni wale vijana wa mchongo wa diaspora
Mwamnyeto kawa mzito aanaHiki ni kilio chetu..!
Tunawaomba Sana, Mechi Ijayo Kama inawezekana mtubadilishie Wale Mabeki...!
Ushabiki wetu Wa Yanga na Simba ubakie huku huku NBC...!
tumewekaza sana kwenye propaganda za vyombo vya habari lakini kweny uhalisia hatuna lolote kwa kweli.Tanesco wapuzi,timu ya taifa wapuzi, mwendokasi wapuzi.Imefungwa Taifa sters haibu nimeona mimi.
Kwakweli hatuna timu, sio ya kushinda tu, hata ya kushiriki hatuna.
Tangu michuano ianze hakuna timu mbovu nilioiona kama Taifa sters, "mungu wangu".
Timu nzima ni mbovu lakini Manula amezidi, goli la kwanza ni wazi tumefungwa kutokana na wenge lake.
Nashauri watanzania wenzangu tutafute mchezo mwengine lakini sio soccer.
Sisi wakuzidiwa na Moçambique bhanaaah!!!!
Uwe unauliza ili upate kujulishwa ndio njia pekee ya kujifunza. Unachoona wewe ni hivyo kwakua hauna uwezalo kuona nje ya hapo.Sasa mbona namuona Samatta peke yake na wote wanamtafuta mwenyewe na mipira yote inapotea.
NdioKwamba taifa stars ilijiandaa vema kumfunga Morocco!
Mungu akuondolee hiyo roho ya chuki kwa nchi yako.Binafsi nimefurahi sana Taifa Stars kufungwa
Tena Morocco wangeikanda matano ya moto.
Kuishabikia Taifa stars siyo lazima.Ndio
Mungu akuondolee hiyo roho ya chuki kwa nchi yako.