FT: Tanzania 0 - 3 Morocco | AFCON 2024 | San Pedro, Ivory Coast | 17.01.2024
Coca hebu tusigombane bure, chuki hizo na Manula kwa kitu gani? Sina mambo ya Uyanga kwenye timu ya Taifa ndio maana unaona hakuna nilikompondea mchezaji yeyote wa Simba.

Sio lazima tukubaliane, hivyo ni vyema kuheshimu maoni ya wengine.
Mbona mimi sijakuvaa unavyoponda beki zilikuwa hovyo? Tena umeweka wazi kabisa ni beki za Yanga Bacca na Mwamnyeto...
Kwahiyo Tanzania ilikuwa inachuana na kipa aliyepangua vichwa vyote vya kina Cr7
Yenyewe ikiwa na golikipa pazia kabisa la taifa Manula!

Na watu walikuwa wanasubiri kabisa Clean sheet kutoka kwa Taifa Stars
 
Wanacheza tena na nani?
Watolewe tu mapema,taifa lisiendelee kupoteza fedha kwenye vutu vya kijinga.


Naombea mechi zote Taifa Stars ifungwe.

Zambia na DRC wapo moto,Zambia siyo wazuri sana ila Golikipa mzuri
Congo kocha wao kiazi

Hakuna timu yati ya hizi utaweza kufungwa na Taifa Stars.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tutapigwa Sana
Hatuna Team Tumepeleka Chawa Wa CCM Kunguni
 
Hawa kamati ya uhamasishaji mwisho wao ilikuwa kwenye harambee au walienda cote d’ ivoire ?
Maana uwanjani hakuonekana mtu yoyote mwenye dalili za kushangilia timu.
 
Imefungwa Taifa sters haibu nimeona mimi.
Kwakweli hatuna timu, sio ya kushinda tu, hata ya kushiriki hatuna.

Tangu michuano ianze hakuna timu mbovu nilioiona kama Taifa sters, "mungu wangu".

Timu nzima ni mbovu lakini Manula amezidi, goli la kwanza ni wazi tumefungwa kutokana na wenge lake.

Nashauri watanzania wenzangu tutafute mchezo mwengine lakini sio soccer.
Sisi wakuzidiwa na Moçambique bhanaaah!!!!
 
Imefungwa Taifa sters haibu nimeona mimi.
Kwakweli hatuna timu, sio ya kushinda tu, hata ya kushiriki hatuna.

Tangu michuano ianze hakuna timu mbovu nilioiona kama Taifa sters, "mungu wangu".

Timu nzima ni mbovu lakini Manula amezidi, goli la kwanza ni wazi tumefungwa kutokana na wenge lake.

Nashauri watanzania wenzangu tutafute mchezo mwengine lakini sio soccer.
Sisi wakuzidiwa na Moçambique bhanaaah!!!!
tumewekaza sana kwenye propaganda za vyombo vya habari lakini kweny uhalisia hatuna lolote kwa kweli.Tanesco wapuzi,timu ya taifa wapuzi, mwendokasi wapuzi.
 
Huyu Tchato amenikumbusha yule non sense Tchato wa zama zile za akina Mboma
 
Back
Top Bottom