Basi hujui mpira mkuu kama ule wewe waita kucheza vizuri. Natazama pira hapa kwa hisani ya yacine tv upo? We endelea kuchoma sindano mkuuWe huangaliii mpira mkuu unasimuliwa mpira..
Nakushauri kwenye marudio.angalia Dakika ya 1 mpaka ya 36
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi hujui mpira mkuu kama ule wewe waita kucheza vizuri. Natazama pira hapa kwa hisani ya yacine tv upo? We endelea kuchoma sindano mkuuWe huangaliii mpira mkuu unasimuliwa mpira..
Nakushauri kwenye marudio.angalia Dakika ya 1 mpaka ya 36
Kuna 'jamaa' fulani ndio sababu ya haya yote....Hivi kuna nchi raia wake siyo wazalendo kama Watanzania (asilimia kubwa),
kwa mtindo huu hakuna pahala tutafit kama nchi walaqhi', tunapwaya karibu kila sekta..!!🙌
Hahaaaa aendelee kushikiria na kubinya pumbu zake sio?Mgunda usitoe mkonoo mfukonii🤣🤣
Ndo haohao.Hv hawa moroco ndio wale waliotaka kutujengea uwanja dodoma kipindi cha jiwe?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiii tupuu.Ndio shida ya hii timu inachanguliwa na Wachambuzi na wanazi
Yule. Mburushi alikuwa hamsaidii katota mapema labda msuva atawezamasikiniii mohamed hussein uwiii wanammengenyua wanavyotaka upande wake
Kibuuuui were r u mmmh
Vizuri kwenye kukimbia kimbia au?Msuva anakosa Connection hana link kabisa ila yuko vizuri sana
Kwa kweliKibu D anyanyuke asaidiane na msuva
Hata Aje Pep ndugu,hatuna fighting spirit wabongo,halafu Vipaji ungaungaa. Tuvumilie tu kama kuzaliwa na Baba mlevii maskini.Tufukuze huyu kocha.
1. Amekuja kufanya kama hii timu ni nyumbani kwake. Anaita kikosi kwa siri, hataki kutoa taarifa ya maendeleo ya timu. Ona sasa mambo yapo hadharani tunapata aibu.
2. Kwa uchezaji huu, uwezo wake ni mdogo sana.
Uliwaambia nani? Acha mbwembwe za kujifanya nabii.niliwaambia mpe Morocco 1-0 ht
Tulia
Hata Belgium alipigwa 2 na morocco's
Tusikate tamaa jaman tujivunie na haka kamoja kamuulizen ee bruyne