blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Kabisa..Afu Bado Himid Mao, nae atakulaa soon tyuuh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa..Afu Bado Himid Mao, nae atakulaa soon tyuuh.
Wakifanya kitu lawama, wasipofanya kitu lawama.Nashindwa hata nisemeje, naona fighting spirit ipo chini ila tukikaza tunaweza
Na nyie mnaochanganya mambo ya mpira na CCM mnazingua,
Huyo dogo nikajua labda alijifunza ...hivo professional player unaweza kusahau hio kitu kweli [emoji23]Kumbukumbu: November 21 mwaka 2023 Taifa Stars ikicheza na hawa hawa Morocco kuwania nafasi ya kucheza World Cup 2026, Novatus Dismas Miroshi alikula umeme dakika ya 65 na tulifungwa 2-0 pale kwa Mkapa
Jamaa ana shida gani?!
Yaan hii kitu ndo nilikuw nawazaKocha angekuwa na akili, angemtoa huyo Miroshi, abadilishe formation, aingize kina Kibu huko.
HATUNA KOCHA. Period
Ila hii ya sahivi wamemuonea jamani hajamgusaaaHuyu dogo kila siku red card?
Hata hapa hakuna shida.Miroshi na Himid walitakiwa wafanyiwe SUB mapema tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hatariiiiiHah
Haha huyo mm nilimuweka kapu moja la anytime red card na mwenzake novatus [emoji23][emoji23]. Hela tu sina ningebet hata laki 5