FT: Tanzania 0 - 3 Morocco | AFCON 2024 | San Pedro, Ivory Coast | 17.01.2024
Unajua kama Kipa yeye anaona vizuri mpango wa mabeki.

Naona hana juhudi kabisa za kuwapanga mabeki
Hao mabeki hawapangikiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kina bacca na mwamnyetoo wanapigishwa Mark time tyuuh. Lol
 
😂 😂😂hapo kwenye kabila umejifagilia...
Baghooshaa...
We acha tu sis 😁😁😁

IMG-20240117-WA0127.jpg
 
Huu mchezo wa mpira naupenda hapa tuu. Mpira ukishahamia mdomoni na sio mguuni hamna kitu. Wacha wenye kujua boli wafanye kweli
Kadi nyekundu ndio imeloga kila kitu ikewatoa mchezoni
 
Mipira mirefu mara nyingi ni kwaajili ya kuruka phase ya build up moja kwa moja kwenda kushambulia sasa kama mipira mirefu ndo inatakiwa haina haja ya viungo

Ajaze washambuliaji😂😂

Viungo wengi ni wakati wa kukaba...
 
Back
Top Bottom