Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ilianza mwanzoOver imetoa, sijui GG kama itatoka!
Lengo lilikuwa kushinda Afcon kweli au kutoa point za bure
Hao mabeki hawapangikiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajua kama Kipa yeye anaona vizuri mpango wa mabeki.
Naona hana juhudi kabisa za kuwapanga mabeki
Hii hata mapema, hakuna aliyetegemea.MAPEMAAA NILISEMA MOROCO MPE NA MAGOLI MATATU
DEAL DONE
huyu bibi nikimwonaga namwonea huruma sana, ni kama ist kuitwisha mzigo wa landlover..........Matatizo yalianza hapa nusu saa kabla ya mechiView attachment 2874820
Spirit wataitoa wapi wakati kocha alishawatuhumu kuwa hawajitumiHamna spirit kabisa.
Ni kama wachezaji wamekusanywa kitaa wakaambiwa njoo mcheze.
Hakina Mzee Hussein wanapangika kweli!Unajua kama Kipa yeye anaona vizuri mpango wa mabeki.
Naona hana juhudi kabisa za kuwapanga mabeki
We acha tu sis 😁😁😁😂 😂😂hapo kwenye kabila umejifagilia...
Baghooshaa...
Ukichangqnya na kasiasa kidogo, wqdau wanataka kujijenga kisiasa kupitia football.Huu mchezo wa mpira naupenda hapa tuu. Mpira ukishahamia mdomoni na sio mguuni hamna kitu. Wacha wenye kujua boli wafanye kweli
Kadi nyekundu ndio imeloga kila kitu ikewatoa mchezoniHuu mchezo wa mpira naupenda hapa tuu. Mpira ukishahamia mdomoni na sio mguuni hamna kitu. Wacha wenye kujua boli wafanye kweli
Warudi Tanzania au mmewakata.Wapi warudi?
Mipira mirefu mara nyingi ni kwaajili ya kuruka phase ya build up moja kwa moja kwenda kushambulia sasa kama mipira mirefu ndo inatakiwa haina haja ya viungo
Ajaze washambuliaji😂😂
Ameingia njeKibu hajaingia?
lost, over 2.5 won[emoji33]under 2.5 guys wangu wa betts[emoji4], note this
Refa alimsamehe ila ilikuwa kadiRed card kbs ile tena clear.
Tena tusbr Mao 1st half ilitakiwa ale Red.