Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa waendelee na kampeni zao za chipukiziKizimkazi badala hiyo pesa ajenge academy yeye ananunua magoli 😄🤣😄
Tatizo ni kipa MANULA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo si wameonesha hapa uwezo wao halisii.
Sio mabeki, sio Kipa...wote hovyoMagoli yote umeyaona lakini...
Umeona namna Mabeki walivyokuwa wanajiweka eneo la hatari?
Lile goli la pili je?
Utasikia mpuuz m1 anakwambia si unaona hawajatuzid sana possession [emoji23][emoji23].Hatuna shot on target hata mojaView attachment 2874838
Manula alikua golini pale usisahau alipigwa 5Beki imekua pazia la uani...ila sio mbaya 3 ni chache..
kipa.hatuna bwana goli la jamaa wa sevilla ni kipo tosha kabisa kuwa kipa wako ni mbovuHata aje De gea, km mabeki ni Bacca na mwamnyetoo bas kipigo kiko pale palee.
Mtani 3 ni nyingi sana aisee😂😁🤣🤣sema refa wa Leo nae muhuni tuBeki imekua pazia la uani...ila sio mbaya 3 ni chache..
Yani nina maumivu makubwa sababu ya mjinga mmoja, apigwe marufuku kudakia timu ya Taifa.Yaani nimeshangaa sana Simba wamewezaje kuvumilia, ukiwaambia wanaona unaleta utimu 😀
Haha tena nao mchezaji wao alipewa red card mapema kabisa kipindi cha kwanzaHata Gambia wamepigwa 3 siyo sisi tuu
Yani hizo 2 ndo hatuziwezi kabisaaaaa.Hivi unawajua Zambia wewe?!Tupo pamoja Taifa Stars…. Tusikate tamaa. Bado mechi mbili
Vile vitoto vipuuzi vinakaba kwa macho...ila Tanzani ligi yetu inabebwa na kina Chama na Kina Aziz kina Inonga ila zaidi ya hapo ni huzuni kwakweli...Tatizo ni kipa MANULA [emoji23]
Kiko wapi?Huu ugonjwa wa kujikataa wanao watanganyika,wanaodai zenji wanatuzidi mpira wakati tumewabomoa Mara kibao
Timu ukiona Msigwa na Hamis wanavyoipamba unaweza ukadhani ndio imeenda kama bingwa mtetezi.Mkuu yaani hata kama kila mchezaji akapewa milioni20 kila mechi kipgo kipo lale pale kila kitu hii nchi ni siasa. Muda ni mwalimu mzuri kila mtu kajionea vijana Walivyo mdebwedo kama darasani ni lile toto linalokaa nyuma halafu halielewi🤣🤣🤣
wewe sema tu unapiga mbio ndefu mpaka keshoHaya matokeo yameharibu hamu ya kula chakula cha jioni kabisa