OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wewe ni nchi gani?Asiende kuangalia VAR. Iwe tu faul naona kama kibu hakuguswa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni nchi gani?Asiende kuangalia VAR. Iwe tu faul naona kama kibu hakuguswa.
Hata mimi nimemuonea huruma🥲
Tumsaidiaje Sasa ?...Na mimi nimeumia sana nilipomuangalia...sema ndo nchi yangu nafanyajeee
Tia maji ni walioshindwa kucheza hiyo michuano.Inipate Kwa kipi
Timu inekutana wote tia maji
Wamekukosea sana ,inabidi tuwafanyie audition..Tanesco imejaa mijitu ya hovyo. Mimi sio wakufuatilia soka JF
Kashalipa kwa kumpa mtu umeme, [emoji23][emoji23][emoji23]Refa anatunyima tuta
Tanzania mkuu. Si umeona kaenda kuangalia tumekosa hata faulu ya bure.Wewe ni nchi gani?
Watu wanaboaaa..vijana hawahusiki na serikali...Tumsaidiaje Sasa ?...
Tia maji ni walioshindwa kucheza hiyo michuano.
Leo nyie 'haters' aibu iwapate
Weee kajiangushaje mtu asiteleze?? Kua na utu unamwitaje binadamu mavi...uan mdomo mchafu...KIBU MDA MWINGINE AJIONGEZE ANA UJINGA SANA WAKUJIANGUSHA SEHEM YA KUFUNGA MWANGALIENI HATA SIMBA HUYU NI.MAVI MATUPU
Ile red ilikuwa ya halali Kabisa 😂Kashalipa kwa kumpa mtu umeme, [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu mwamba katisha sana🤣🤣🤣Achana na imani hizo, ndio zinafanya waafrika tunabaki maskini.
Mpira wa sikuizi ni VAR no hiding
Naunga mkono hojaWeee kajiangushaje mtu asiteleze?? Kua na utu unamwitaje binadamu mavi...uan mdomo mchafu...
Aliwahi fundishaHuyu kocha wa Zambia sio aliwahi ifundisha Chelsea kweli [emoji26]
mwenyewe mkuu...Huyu kocha wa Zambia sio aliwahi ifundisha Chelsea kweli [emoji26]