FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

Hivi why hata mnampanga Samata ?

Yaani wachezaji wote wa SSC hata wa zamani ni tatizo

Ndio maana hakuweza ligi ya uingereza

SSC mumfukuze chama, anahoji maamuzi ya refa wakati wa tz ndio tunampa kula

Mtu mwenyewe hana impact tena
 
Dk 80 tunaongoza bao 1 na ball possession.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…