Zambia ndiyo saizi yetu tumeshindwa kumfunga tutaiweza Congo! Tutarajie kula 5.Haina shida mechi na Congo tunatoboa.hakuna kukata tamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zambia ndiyo saizi yetu tumeshindwa kumfunga tutaiweza Congo! Tutarajie kula 5.Haina shida mechi na Congo tunatoboa.hakuna kukata tamaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sitokaa niishabikie Stars. Haki ya Mungu nasema
Hakika tutawachapa na kufuzuKimewashinda nini leo na wenzenu walikuwa 10?
😁🤣🤣🤣Fanyeni fasta fasta nataka kulala. Ila bora mmekosa sbb mngetupigia sana kelele. Si unajua zile maskini akipata?
Kabisa mkuuBora tufungwe tukiwa na wachezaji wasiojulikana.
Stars wamecheza vizuri sana leo na wamemiliki mpira mwanzo mwisho na kupoteza nafasi 2 muhimu ambazo yalikua ni magoli ya wazi kabisa. Natumaini kocha suleiman mmoroko atarekebisha mechi ya mwisho tunamchapa Congo.Kuna mpr wanaocheza team zngne hlf ss kuna Mpr tunaocheza sisi Tz.. Ww mkuu unaona ivo ni vitu sawa?
MKUU KWA MTU ANAYEPENDA TAIFA LAKE LAZIMA ASEME UKWELI.Wachawi hamkosekani popote
Mkuu hata kama matumaini yalikuwa hafifu ila tunaongoza 1, mpinzani ana red card, lazima matumaini yaongezeke yawe juu.Mkuu unaanzaje kuumia?
Ivi ulikuwa na matumaini yoyote kwa timu kama hii, ebusemaukweli.
Leo haikupaswa kuwa hivi iwapo tu wachezaji wangejituma. Tungeshinda.Ivi tulipiga mashuti mangapi golini tulipo cheza na moroco.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
HeeWewe hauna uzalendo?
Hawataamini mechi ya mwisho
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utasikia ... mmecheza vizuri wanangu ...
Huwezi kuwafunga congo kamweStars wamecheza vizuri sana leo na wamemiliki mpira mwanzo mwisho na kupoteza nafasi 2 muhimu ambazo yalikua ni magoli ya wazi kabisa. Natumaini kocha suleiman mmoroko atarekebisha mechi ya mwisho tunamchapa Congo.
😁🤣🤣🤣🤣Wewe hauna uzalendo?
Hawataamini mechi ya mwisho
Nipo hapa kwa majina naitwa Charles bolingoliWale wanangu wa Congo tujuane
Team Mayele tujipange kitetema
Mungu ibariki DRC🔥
Tumepoteza nafasi 2 muhimu kibu na morice kocha atarekebisha mechi ya mwisho tutashinda hiyo game.Kimewashinda nini leo na wenzenu walikuwa 10?