Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So mnataka makocha wazawa, huo ndio udhaifu wao mkubwa hawana plan bKocha wa zambia aliona kabisa tumerudi nyuma ndio maana akawaingiza musonda na chama. Kocha wetu aliishiwa mbinu
Zambia wasingepata kadi nyekundu wangetupiga 3
Wanangu wa Zambia wameifanya kazi njema japo walikuwa kinyonge pungufu uwanjani.Nipo hapa kwa majina naitwa Charles bolingoli
Nipo sis.Upo my braza.... 😂 😂 😂
😁🤣🤣🤣🤣Mbona hampeani moyo wazalendo 😃😃
Bafana bafana.. ni muda sasa wa kuzima Tv.
MUDATHIR, FEISAL WARUDI PAJE KULIMA KARAFUU, MANULA ARUDI MORO KUNA MASHAMBA MAKUBWA KULE, MWAMNYETO ARUDI TANGA AKACHEZE BAO.Tanzania can't win even against 10-men Zambia..... The most useless team in the history of the game 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂... Tanzanians should just focus with farming, football is not their thing
Haha hamuishiwi viojaSamia anarejesha umeme baada ya mechi. Ningeangalia hii mechi ukute tungeshinda
Mpira haupo hivyo wewe.Zambia ndiyo saizi yetu tumeshindwa kumfunga tutaiweza Congo! Tutarajie kula 5.
Huyu mama nchi imemshinda hii Mimi wa kuangalia mpira online kweliSamia anarejesha umeme baada ya mechi. Ningeangalia hii mechi ukute tungeshinda
Wewe..... usilinishe manenoHee
Hadi cookie kafurahia comeback ya Zambia🔥
Tumerudi kwenye nafasi yetu PendwaIkiisha hivi itakuwa mzuka ila kinyume na hapo tutajikuta mwishoni
Wapi huko na walikata saa ngapi mkuuSamia anarejesha umeme baada ya mechi. Ningeangalia hii mechi ukute tungeshinda
Ihefu usiwe na shaka nae tena..ligi ikianza watakua underdog wenu...Nipo sis.
Nimenyong'onyea tu yaani.
Halafu nawe katika mifano yote eti unaitaja Ihefu. Si umtaje angalau Mangungu huko kha! 😁
Tunaenda kuwapokea airportAngalau tukalale bila kelele