FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

20240121_222824.jpg

What Tanzanians are seeing at the AFCON 😂😂😂😂😂😂
 
Nasema kwa sababu nimeona uwezo wa stars leo. Wamecheza vizuri sana na wameumiliki mpira dakika zote 90 .mistakes huwa zinatokea lakini kiukweli taifa stars wamepiga mpira mzuri sana. Kocha atarekebisha next game tukiongeza uwezo kidogo tu zaidi ya leo tunaitoa Congo.
Zambia wamecheza zaidi ya dk 45 na watu 10. Kumbuka hili. Halafu Goli walilofunga Tanzania halitokani na ufundi wa timu ku-create bali kosa la beki ya Zambia.
 
Tusidanganhane makocha wazawa bado sana yule mwarabu na mapungufu yake advantage ya mechi ya leo lazima angeshinda tu
 
Kosa la msingi hiki kikosi kingeanza na moroko tungeweza hata kutoa sare ila kwa game ya leo stars bado ana nafasi mkuu. Zambia wameponea chupu chupu.
Kwa congo hii iliyocheza na Morocco n jinsi ilivyocheza, tegemea kipigo cha mwizi nitakukumbusha mkuu wewe tulia
 
Back
Top Bottom