Being_neutral
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 376
- 727
🤣🤣dharau kubwa ni kichwa a nusu halafu bado goli linarudishwaMakubwa jinga ya kundi F😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣dharau kubwa ni kichwa a nusu halafu bado goli linarudishwaMakubwa jinga ya kundi F😂
Hawezi kupiga anajifanya haoniKwani bado hajapiga simu?
Hata mimi!Nilimpenda Magufuli, siyo CCM.
Unamjua katompaTunawafunga kama walitoka draw na zambia hii tuliyoihenyesha leo hawana maajabu.
Zambia wamecheza zaidi ya dk 45 na watu 10. Kumbuka hili. Halafu Goli walilofunga Tanzania halitokani na ufundi wa timu ku-create bali kosa la beki ya Zambia.Nasema kwa sababu nimeona uwezo wa stars leo. Wamecheza vizuri sana na wameumiliki mpira dakika zote 90 .mistakes huwa zinatokea lakini kiukweli taifa stars wamepiga mpira mzuri sana. Kocha atarekebisha next game tukiongeza uwezo kidogo tu zaidi ya leo tunaitoa Congo.
Hemedi Morocco akajifanya anajua kufanya sabu... Sabu imeshidwa kulinda goli.... Amebaki ametoa ulimi nje kama Mbwa aliyekosa nawindoTanzania ndio timu yenye back passes nying kuliko timu yoyote kwenye afcon hii
Kosa la msingi hiki kikosi kingeanza na moroko tungeweza hata kutoa sare ila kwa game ya leo stars bado ana nafasi mkuu. Zambia wameponea chupu chupu.Nitakukumbusha. Nimesave hii
Kwani mmewafunga?Kwani kabla ya hii mechi ya Zambia kuna aliyeamini tungewafunga Zambia?
Kweli hali mbaya hadi tumemkumbuka UlimwenguHivi Thomas Ulimwengu yuko wapi??
Moyo ni msuli mkuu; na misuli huwa haipati kansa...ila usiombee msuli ukakakamaa! 😁Hii timu ya Tanzania ukiishabikia Sana unaweza kupata kansa ya moyo
Kwa congo hii iliyocheza na Morocco n jinsi ilivyocheza, tegemea kipigo cha mwizi nitakukumbusha mkuu wewe tuliaKosa la msingi hiki kikosi kingeanza na moroko tungeweza hata kutoa sare ila kwa game ya leo stars bado ana nafasi mkuu. Zambia wameponea chupu chupu.
Sasa unashangaa nini mkuu? Mbona hii Zambia tuliyoipelekesha leo ndio iliyotoa draw na Congo? Tulieni mtaona maajabu nawambia.Nafasi ya kumfunga Congo???
Sijui lakini