Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Aziz Ki atapaisha tuYanga wanapata faulo karibu na box
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aziz Ki atapaisha tuYanga wanapata faulo karibu na box
Utakuwa ulikuwa unaotaMkuu hukuona hatari kwenye kona ya mwisho ya Mona
Duh, Dr Matola PhD? Hii sikua nimeiona, hongera sana, hii ni ile ya USD 2500? Au ya maganda ya korosho?Mlianza kupenda timu kabla ya kupenda mpira kwanza ndio shida ya wengi wenu.
Football ni mchezo wa makosa, ulifanya makosa unaadhibiwa, hapo hakuna John Bocco wakisema ufanye makosa na bado anashindwa kufunga, hao Waarabu wamewekeza kwenye mpira, sisi ndio tunaanza.
Hakuna mafanikio ya haraka, hata Simba amekula sana hamsa hamsa mpaka zikampa uzoefu wa hii michuano.
Vipers siyo timu mbovu iliyokalishwa na Raja, Mwarabu ukianza mechi kwake hafanyi makosa.
Nyege zinakusumbuwa, kwani Jana Chama hakucheza?Naliona pengo la Feisali
Daima mbele 💛💚💪Ha ha ha.
Wacha uongo mkuuYanga wanacheza vizuri, mpira wanatawala wao
Golini kwa mpinzani wanafika sana wao
Hawa Minastr wanawazidia wapi Yanga?
Atakuwa Manara huyo 🤣🤣Kuna mtu anatype lakini msg hazifiki
Hahahahaa. Yaani wameshasahau kama na wao jana walifungwa.We tulia watakimbia tu hapa
Utakuwa ulikuwa unaota
Naona leo kaamua kuwamwagia sifaWacha uongo mkuu
Yanga bado muunganiko tu kwenye faino sedi ila game yetu hiiWajomba n wakawaida sana
Ball position pia tunayo
Kuna mtu kachukua hizo sahizi anataka anywee panado k vantiYanga imepewa odds 5 swafi kabisa
Hii nimeitetea Kwa Thesis darasani.Duh, Dr Matola PhD? Hii sikua nimeiona, hongera sana, hii ni ile ya USD 2500? Au ya maganda ya korosho?
Mkuu unatazama mpira upi?Nyege zinakusumbuwa, kwani Jana Chama hakucheza?