Hakuna team hapo vipers ni wabovuu..Simba wajitahidi kukomaa hadi dakika 90 waondoke na alama tatu, hawa Vipers kama watapata sare leo inaweza ikafanya mechi ya marudiano ikawa ngumu sana kwa Simba. Jamaa wana kasi sana kinachowangusha ni ubutu tu wa washambuliaji wao. Hivyo Simba waanzie huku huku kuwakata matumaini
Ulishawahi kuona wap goli la vile?mtu kapika carate kaumiza mabek woteDhuruma tena
Tunataka point na pira biriani..Unataka point au mabiriani
Ila mikimbio ipoTunaongonza kwa goal ila hatuna team ukweli tuseme
Hakuna ushindi hapa leo, Simba ya ushindi haiko hiviKikubwa ushindi
Ama UBCChannel gani
umetisha mzeeUngia hapo walipoandika live events kuna games zote zitazoomeshwa pamoja na ya simba ipo. Scrolldown utaiona game ya simba
Quality nzuri ni BEIN SPORTS 720P INGIA HAPO SELECTnichague ipi hapa?
Channel 282Ama UBC