nijibiwe nilicho pinga mkuuAngalia tena nilipoandika Simba SC WIN alafu njoo tena
Wiki ijayo tutakuwa nafasi ya pili hawa tunawatwanga mbele na nyuma yaani nje ndani
Game ya Horoya vs Raja ni saa ngapi?
Ushindi wa muhimu zaidi utakuwa ni dhidi ya Horoya hapa Dar, inatakiwa wafungwe kwa tofauti ya mabao mawiliWalipata nafasi nyingi za kufunga lakini sijui walikuwa wanashindwa vipi?
Simply tuna matatizo ya ndani. Kuna zaidi ya Soka pale Simba Sasa hivi. Kama vipi Mangungu jiuzulu tu.Walipata nafasi nyingi za kufunga lakini sijui walikuwa wanashindwa vipi?
Nne usiku.Game ya Horoya vs Raja ni saa ngapi?
[emoji1317]
HakikaTUMEFUNGWA..!!!
Ulione eehMambwiga waliouanza uzi kwa vidole juu kama waimba taarabu now siwaoni
Ama UBC
Unaumwa calio ww 😅😅TUMEFUNGWA..!!!