FT: Vipers S.C 0-1 Simba S.C | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 25.02.2023

was ngapi
 
Hawa jamaa nilipenda angalau washinde hii mechi ila nkifikilia tambo na maneno yao ya kuudhi, nawaombea tu vichapo.

Najua watachapwa ila hasira zao watakuja kuzihamishia kwa yanga tar 16 Aprili. Hapo yanga asipokaa vema anaweza akapoteza hiyo mechi maana yatacheza kufa kupona.
 
Hahaaha
 
Kwa uwezo gan mpaka iwe kufa na kupona???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…