FT: Yanga 0-1 Azam | VPL | Benjamin Mkapa | April 25, 2021

wanakosaa yanga nafasi nzuriiii ....what a chance
 
lolote linawezaa kutokeaa
 
mabadirikoo... kaseke out ..nchimbi in
 
kakaribishwaa tayari chini
 
yanaga wanapata free kick eneo zuriiiii ....
 
carinhoo...... anakosaaaa
 
yahaya zaidi anatoka ,,, anaingia tigere
 
tonombe,,,job.... sapong ...carinhooo...tonombeee....saidooo anapotezaa
 
Dah! Timu yangu leo imekufa kabisa kwenye eneo la kiungo! Haka Katoto ka Angola kanacheza kibishoo bishoo tu! Hakawezi hata kukaba! Kanategemea kuchukua ujiko kwenye mipira ya adhabu na kona tu.

Kiufupi hatuna kiungo namba 8! Fei Toto sijui yuko wapi! Bora hata wangemuingiza mkongwe Niyonzima. Tukishinda mechi hii basi itakua ni bahati nasibu tu. Hapa kuna sare au kufungwa kagoli kamoja!
 
goal kick ,,, idd nado anapotezaa
 
amekuja kupiga free kick na mipra ya kona lakini
 
ninjaaa ninja kweli kweli
 
wanapoteza azm timing nzuri ya kipa wa yanga dk ya 64
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…