kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,451
- 2,059
Yani azam sijui wamekula maharge ya wapikona ya azam
Kufagia?Ninja Anafaa kwenda Man City
wajinga sana hawa.Yani azam sijui wamekula maharge ya wapi
Wameishiwa mbinuwanajidondoshaa yanga
hahahahahahha ninjaa kakomaaaKufagia?
Hawa hata wacheze mpaka muda wa daku hawapati goli76' Utopolo 0 - 0 Azam
kuna jitu limejiangusha kwenye 18 kutafuta penatiwanajidondoshaa yanga