Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Kazi iendeleee....!!!!mpiraaaaa umeishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi iendeleee....!!!!mpiraaaaa umeishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
hahahahahahahahaha kwa kweliiKazi iendeleee....!!!!
Dubee Goooooooooooooooooooooal
Kutoka mita 24 anadandika kwenye lango la Yanga SC na kuandika bao la kwanza
Yanga SC 0-1 Azam FC
Yeah hii ni kamati ya vinywaji wakati simba akichukua ndoo. Pomgezi ni muhimuSimba tunaungana na ndugu zetu Azam kufurahi
Utabiri umetimia! Ubingwa ni wa Simba, kwa mwaka wa nne mfululizo. Wanastahili. Yanga ina matatizo. Kuanzia wachezaji, benchi la ufundi na viongozi.Dah! Timu yangu leo imekufa kabisa kwenye eneo la kiungo! Haka Katoto ka Angola kanacheza kibishoo bishoo tu! Hakawezi hata kukaba! Kanategemea kuchukua ujiko kwenye mipira ya adhabu na kona tu.
Kiufupi hatuna kiungo namba 8! Fei Toto sijui yuko wapi! Bora hata wangemuingiza mkongwe Niyonzima. Tukishinda mechi hii basi itakua ni bahati nasibu tu. Hapa kuna sare au kufungwa kagoli kamoja!
Wamfukuze huyo kocha ana mkosi. Bora mwambusi"Sa itakuwaje?" Hiyo tarehe 8!....hamsa?!
Poleni sana Uto
Wamemchezea rafu wee kutaka kumuumiza makusudi ila Mungu kawalaani yule yule wasompenda kawapiga kidudeDubee Goooooooooooooooooooooal
Kutoka mita 24 anadandika kwenye lango la Yanga SC na kuandika bao la kwanza
Yanga SC 0-1 Azam FC