Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mpira ulempira hauna mbinu bora liendee
Man city ya TandaleNinja Anafaa kwenda Man City
Yeah na vipigo mitaa ya jangwani viendeleeKazi iendeleee....!!!!
mapema hii?Viongozi wa Yanga ni wapumbavu sana, toka Kaze atoke nini wanafanya sasa, haya Mwambusi katoka ujinga tu.
Nafasi ya pili hatuipati, Prison anatusubili shirikisho kule kwao ajipigie ushenzi tu.
Ile adhabu inamstahilikwan kg 800 anasemaje?
Yan Maxence Melo na ujanja wote ashabikie utopolo!? HaitafaaMaxence Melo Mkuu upo simba nini
Leo mmewageukia wachezaji tena? Si tulikubaliana tuna timu nzuri na tutafunga mechi zote zilizobaki.anaoverconfidence ya ajabu sana yani mpira ule wa kuruka na mkono mmoja kweli? Apumzike.
Haaa,,,kwa hiki kipigo cha leo Maxence Melo kesho asiachwe avuke barabara mwenyewe.asante Maxence Melo likes zako mkuu nimeziona kama yanga ndo timu yako pole sana
Kacheka tuu😂Yan Maxence Melo na ujanja wote ashabikie utopolo!? Haitafaa
hahahhahahahahahahHaaa,,,kwa hiki kipigo cha leo Maxence Melo kesho asiachwe avuke barabara mwenyewe.