Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Uto kama uto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uto kama uto
Tushaambiwa wenzetu wanataka back to back 10 bado unawaza ubingwa kwa uongoz wa msolwa anaye ongozwa na GSM msolwa n rubber stamp ikiwezekana n rubber band tuuuShikalo kiwango kimeisha. Hii ni mechi ya pili mfululizo anafungwa goli nje ya 18! Yanga iangalie namna ya kutafuta mbadala wake.
Kuna magolikipa wengi sana wazawa, wa bei nafuu na wanao mzidi kiwango Farouq Shikalo kwa mbali. Naamini viongozi wanapitia humu. Fanyieni kqzi huu ushauri wangu.
alikuwa anasambaza likes itakuwa kafurahia matokeooKacheka tuu😂
Utabiri ulioshiba huu.yanga wanakufa kwa tofauti ya goli moja
sijui wamrudishee mzee wa watu
Mbona anavyotoa likes huko nyuma nikajua Maxence Melo ni simbahahahhahahahahahah
si ndo maaana nikaenda live, yaani mb zangu zife bure nilikuwa na uhakikaUtabiri ulioshiba huu.
Nilimuona ikabidi nimuulize...alikuwa anasambaza likes itakuwa kafurahia matokeoo
😂😂😂Mbona anavyotoa likes huko nyuma nikajua Maxence Melo ni simba
atakuwa mnyamaa .... yanga na preshaa hii mtu anapata wapi ujasiri wa kutoa likeNilimuona ikabidi nimuulize...
Laana ya mwambusi itawatesa, kitendo alichoafanyaga saido kwa mwambusi, kitamwandama daima, mpaka atubu dhambi hiyo. Leo kapewa 90min, lakin alikuwa anademka tu.Mchezo Wa Ligi Kuu VPL Kati Young African na Azam Umemalizika huku matokeo yakisoma Yanga Ya Dar Es Salaam kupoteza Mchezo Kwa goli moja bila. Matokeo haya yanaisogeza Azam katika kinyanganyiro cha kugombea nafasi ya pili katika msimamo Wa Ligi. Ingawa ligi haijafikia tamati. Timu Ya Simba imeonyesha Haina mzaha katika kugombea Ubingwa hasa baada ya kunyakua pointi zote tisa Kanda Ya Ziwa. Hivyo kuzifanya timu zilizobaki kuwa na option moja tu Ya kugombea nafasi ya pili kujihakikishia nafasi ya kushiriki michuano Ya kimataifa.Kwa Matokeo haya....Yanga imejiweka Katika mazingira yenye Changamoto Zaidi...! Ni suala la kuchanga Karata....!