Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Bwana Jay Z wa jamhuri ya watu wa huko... Aliama akaenda uto now kalud...atakuwa mnyamaa .... yanga na preshaa hii mtu anapata wapi ujasiri wa kutoa like
sijui wamrudishee mzee wa watu
Huku hawajaja kabisaa....mkuu tujiandaee kwa matusiii badala ya asante ya pole ...ngoja niende
nitag kwenye thread ya yanga tuwatakie usiku mwemaKama Bwana Jay Z wa jamhuri ya watu wa huko... Aliama akaenda uto now kalud...
nitag siuoniHuku hawajaja kabisaa....
Tuingie na Gia ya kumsema refa.. Kawabeba Azam ili waje🤣
hao waliombemba ni wababa na kazi zao
Yah,waangalie soka la kiufundi na akili kutoka kwa Simba mabilioni sports club.Bado Kwata la prison nahis huyu kocha anaweza akafikuzwa mapema[emoji23][emoji23]
Alikuwa ADEMKA tu....! Saidoooo.....itabidi tutafute maana Ya hili neno KUDEMKA.....! Ndugu zetu wa huko Zenji embu njoooni....KUDEMKA ndo nini .?Laana ya mwambusi itawatesa, kitendo alichoafanyaga saido kwa mwambusi, kitamwandama daima, mpaka atubu dhambi hiyo. Leo kapewa 90min, lakin alikuwa anademka tu.
Sindomaana wakapewa jina la Utopolo na shabikiwao wenyewe.Lkn viongozi wa yanga hawakufikiria ss kwa wachezaji wetu hawa afu unawaletea kocha anaongea kiarabu hahaaaaaa