Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna jirani yangu naona leo analala kwenye gari kabisa ...Poleni sana ndugu zangu, mjifunze mpira hauchezwi kwa maneno meng! Leo Usingizi mwororooooooooo huku wengine wamelala na viatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani Metacha ameenda wapi mkuu?Shikalo kiwango kimeisha. Hii ni mechi ya pili mfululizo anafungwa goli nje ya 18! Yanga iangalie namna ya kutafuta mbadala wake.
Kuna magolikipa wengi sana wazawa, wa bei nafuu na wanao mzidi kiwango Farouq Shikalo kwa mbali. Naamini viongozi wanapitia humu. Fanyieni kqzi huu ushauri wangu.
naona babu mtu analeta utani wa ngumi kabisadaaaah mkuu umenikumbusha enzi hizo.... uko poa lakini?
Hata sijui aisee! Maana hata Fei Toto ndiyo namuona leo. Shikalo ni majanga kwa mipira ya mbali na ile ya kona! Na hana kabisa timing nzuri ya kutokea mipira.Kwani Metacha ameenda wapi mkuu?
Viongozi wa Yanga ni wapumbavu sana, toka Kaze atoke nini wanafanya sasa, haya Mwambusi katoka ujinga tu.
Nafasi ya pili hatuipati, Prison anatusubili shirikisho kule kwao ajipigie ushenzi tu.
Utabiri umetimia! Ubingwa ni wa Simba, kwa mwaka wa nne mfululizo. Wanastahili. Yanga ina matatizo. Kuanzia wachezaji, benchi la ufundi na viongozi.
Ni wakati sasa kwa Viongozi kuharakisha mchakato wa kuibadili timu kutoka kwenye mfumo huu wa sasa. Wachezaji wengi walio sajiliwa ni wa kiwango cha kawaida sana ukilinganisha na usajili wa Simba.
Kafungwa kweliMaskini Yanga
Kafungwa kweli