Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Daah utabiri umeenda kinyume kidogo, ila hongera sana kwa kutabiriUto leo anapigwa kimoko, tena cha mapema kama cha kuku, halafu kinang'ang'ania mpaka mwisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah utabiri umeenda kinyume kidogo, ila hongera sana kwa kutabiriUto leo anapigwa kimoko, tena cha mapema kama cha kuku, halafu kinang'ang'ania mpaka mwisho.
Popote alipo aagize ice cream bili anisogezee mimiNamtakia kila la kheri kwa Prince Dube leo afanye mavitu yake.
Mkeka ulikuwa imara sana huuKwa wale timu kubet yanga 0 azam 1
Bili nasikia italipiwa na Msemaji wa Timu ya Azam - 'Zaka za Yanga'Popote alipo aagize ice cream bili anisogezee mimi
Viporo hutokana na ushiriki wa timu kwenye michuano ya nje na kwetu husumbua sana kutokana na kutokuwa na umadhubuti wa kalenda ya ligi zetu bado hata kwa upande wa CAF achilia mbali ligi za ndani kuwa wazuri kwenye ratiba kutokana na ligi nyingi za Afrika kuwa na changamoto ya kalenda zao.Kilichokuwa kinasubiriwa kinetimia !
Yanga wanaelejea kupoteza matumaini ya Ubi gwa na wakiteleza hats ushi di was Pili.
Hii inatokea baada ya Yanga kuongoza Ligi kwa muda mrefu ,Tena kwa Tambo!
Hata hivyo ,TFF kushindwa kupanga ratiba vizuri ku accomadate timu kubwa ..Mnyama Simba kwenye ratiba ili asiwe na viporo vingi ndio mzizi was fitna! ...ambwo umewaachia Yanga kuongoza Ligi kwa niaba ya ....[emoji79][emoji79]
Shurti utani kufanana na kufaana. Baada ya ubingwa wa Epl na fainali ya CAF, offer ya zanzibar ipo pale pale,Naona umeniiga Mtani. Lol.
Dee hiyo Kwiio. 💃💃
Mpira una matokeo matatu Mtani.
Hahahaa. Naona furaha imezidi Mtani hadi unauita ubingwa wa EPL badala ya VPL. LOL.Shurti utani kufanana na kufaana. Baada ya ubingwa wa Epl na fainali ya CAF, offer ya zanzibar ipo pale pale,
Kwioo hiyo kwioo😂😂😂
Mie nipo Mtani.Yaaani umekuwa adimu mpaka tuitane majina 😂😂😂😂
To dance majesticallyAlikuwa ADEMKA tu....! Saidoooo.....itabidi tutafute maana Ya hili neno KUDEMKA.....! Ndugu zetu wa huko Zenji embu njoooni....KUDEMKA ndo nini .?
Hapo mwisho kwanini usiseme yatatukuta Yale Yale ya Raja Casablanca?au umesahau kuwa ulipigwa 6 na Raja?unayo reference inayokuhusu wewe mwenyewe mjomba.Halafu ile ya Simba alipigwa Tano lakini unajua alienda Robo fainali?Hata sijui aisee! Maana hata Fei Toto ndiyo namuona leo. Shikalo ni majanga kwa mipira ya mbali na ile ya kona! Na hana kabisa timing nzuri ya kutokea mipira.
Msimu ujao ni bora tu timu ikasajili magolikipa wa ndani! Wako wengi tu wanaofanya vizuri kuliko huyu Shikalo. Kama timu itafuzu kucheza mashindano ya kimataifa, halafu mlangoni akaachwa Shikalo! Hakika yatatukuta yale ya watani zetu msimu uleee wa hamsa hamsa.
😂 Taratibu tunawaacha mwenye position yake kaja 🦁Kwema sana tu Mtani.
Ndo mpira ule. Nawaza tungemfunga mngefurahi namna hii saa ngapi?
Kwa hiyo wakipigiwa simu watapokea
😂😂😂😂😂😂 mtani akifungwa raha tupuHahahaa. Naona furaha imezidi Mtani hadi unauita ubingwa wa EPL badala ya VPL. LOL.
😂😂😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simu yako ina mafua nini mzee?