FT: Yanga 0-1 Azam | VPL | Benjamin Mkapa | April 25, 2021

FT: Yanga 0-1 Azam | VPL | Benjamin Mkapa | April 25, 2021

Asante Mungu, uto wana mdomo sana[emoji23][emoji23][emoji23]
1619377945776.png
 
Hakuna updates zozote? Hakuna timu iliyo ona goli la mwenzake? Nipo mbai kidogo na TV
Utopolo kafungwa goli moja bila..... Afadhali wamefungwa maana wana mdomo sana alafu wana timu bovu sana. Na viongozi wao wanatamba kuwa mashabiki wa yanga ni vichwa maji wanawaweka bize na mambo ya nje ya uwanja tena vya kipuuzi tu kuwasahaulisha ubovu wa timu yao.
 
Shikalo kiwango kimeisha. Hii ni mechi ya pili mfululizo anafungwa goli nje ya 18! Yanga iangalie namna ya kutafuta mbadala wake.

Kuna magolikipa wengi sana wazawa, wa bei nafuu na wanao mzidi kiwango Farouq Shikalo kwa mbali. Naamini viongozi wanapitia humu. Fanyieni kqzi huu ushauri wangu.
anaoverconfidence ya ajabu sana yani mpira ule wa kuruka na mkono mmoja kweli? Apumzike.
 
Viongozi wa Yanga ni wapumbavu sana, toka Kaze atoke nini wanafanya sasa, haya Mwambusi katoka ujinga tu.
Nafasi ya pili hatuipati, Prison anatusubili shirikisho kule kwao ajipigie ushenzi tu.
 
Back
Top Bottom