synthesizere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2019
- 878
- 1,255
Hahahahahahahahbwahahahahabwahahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Mungu, uto wana mdomo sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Utopolo kafungwa goli moja bila..... Afadhali wamefungwa maana wana mdomo sana alafu wana timu bovu sana. Na viongozi wao wanatamba kuwa mashabiki wa yanga ni vichwa maji wanawaweka bize na mambo ya nje ya uwanja tena vya kipuuzi tu kuwasahaulisha ubovu wa timu yao.Hakuna updates zozote? Hakuna timu iliyo ona goli la mwenzake? Nipo mbai kidogo na TV
Tuwekeeni msimamo
Kama kawa mwiko uko nyuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uto kama uto
Tisha sanakwa wale timu kubet yanga 0 azam 1
anaoverconfidence ya ajabu sana yani mpira ule wa kuruka na mkono mmoja kweli? Apumzike.Shikalo kiwango kimeisha. Hii ni mechi ya pili mfululizo anafungwa goli nje ya 18! Yanga iangalie namna ya kutafuta mbadala wake.
Kuna magolikipa wengi sana wazawa, wa bei nafuu na wanao mzidi kiwango Farouq Shikalo kwa mbali. Naamini viongozi wanapitia humu. Fanyieni kqzi huu ushauri wangu.
niniazam wanapoteza....
Pale ni zaidi ya mita 30 mkuuDubee Goooooooooooooooooooooal
Kutoka mita 24 anadandika kwenye lango la Yanga SC na kuandika bao la kwanza
Yanga SC 0-1 Azam FC
Anaipania tu Simba ana vielement vya utopoloHuyu Nado ni very overrated
Msiwe na wasiwasi mnaye SenzoViongozi wa Yanga ni wapumbavu sana, toka Kaze atoke nini wanafanya sasa, haya Mwambusi katoka ujinga tu.
Nafasi ya pili hatuipati, Prison anatusubili shirikisho kule kwao ajipigie ushenzi tu.
Asante munguMungu awatangulie azam msipoteze mechi
[emoji3][emoji3]Acha simu nyumbani,kuna mashabiki wa timu fulani wanahistoria ya wizi wa simu.
Makazi yenu ni pale mlipoDuuh tunahitaji ushindi leo turudi makazi yetu