FT: Yanga 0-1 Azam | VPL | Benjamin Mkapa | April 25, 2021

Utabiri umetimia! Ubingwa ni wa Simba, kwa mwaka wa nne mfululizo. Wanastahili. Yanga ina matatizo. Kuanzia wachezaji, benchi la ufundi na viongozi.

Ni wakati sasa kwa Viongozi kuharakisha mchakato wa kuibadili timu kutoka kwenye mfumo huu wa sasa. Wachezaji wengi walio sajiliwa ni wa kiwango cha kawaida sana ukilinganisha na usajili wa Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…