FT: Yanga 0-1 Azam | VPL | Benjamin Mkapa | April 25, 2021

Viporo hutokana na ushiriki wa timu kwenye michuano ya nje na kwetu husumbua sana kutokana na kutokuwa na umadhubuti wa kalenda ya ligi zetu bado hata kwa upande wa CAF achilia mbali ligi za ndani kuwa wazuri kwenye ratiba kutokana na ligi nyingi za Afrika kuwa na changamoto ya kalenda zao.
 
Yanga hawawezi tena kufika kileleni, labda wapige nyeto! 🀣
 
Naona umeniiga Mtani. Lol.

Dee hiyo Kwiio. πŸ’ƒπŸ’ƒ
Shurti utani kufanana na kufaana. Baada ya ubingwa wa Epl na fainali ya CAF, offer ya zanzibar ipo pale pale,

Kwioo hiyo kwiooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Shurti utani kufanana na kufaana. Baada ya ubingwa wa Epl na fainali ya CAF, offer ya zanzibar ipo pale pale,

Kwioo hiyo kwiooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahahaa. Naona furaha imezidi Mtani hadi unauita ubingwa wa EPL badala ya VPL. LOL.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapo mwisho kwanini usiseme yatatukuta Yale Yale ya Raja Casablanca?au umesahau kuwa ulipigwa 6 na Raja?unayo reference inayokuhusu wewe mwenyewe mjomba.Halafu ile ya Simba alipigwa Tano lakini unajua alienda Robo fainali?
 
Hahahaa. Naona furaha imezidi Mtani hadi unauita ubingwa wa EPL badala ya VPL. LOL.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mtani akifungwa raha tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…