FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

Nna visheni ya kua na mvii eitee kesho hope nikiamka nitaikuta
 
So ww ndio kwa hii timu yako iliyo choka mwili na akili unaweza kupata matokeo kwa Asec na Wydad...... yaani mnavyo zitiia ugumu mechi za wenzenu ,mtazani nyinyi mna timu ya maana.Kumbe mnajitafuta sasa hivi hata hamjielewi.
Makolokolo SC fans hayana hata upeo kutambua matokeo yao leo ni Wachezaji walijitutumua kuonesha wanaweza ili wapate namba kwa Kocha mpya, ndiyomaana walipata sare na Jwaneng Galaxy SC.

Muda utabainisha ipi ni timu bora 2023/ 2024 [emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 

Simba ndio mbabe kwenye kundi akiwa na Wydad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…