Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliomba mechi iisheYanga kipindi Cha pili wamepoteana
AahhaaaaHawezi mfunga Al Ahly kwake,na anatikwa Ashinde hizo 3 sio kutoa sare yeyote au kufungwa yeyote hapo itakuwa Kwa heri.
Wiki ijayo ni Kwa Madeama
KweliHii al ahly ya caf champions league imekuja kivingine sio ile ya bonanza la African football league
Nna visheni ya kua na mvii eitee kesho hope nikiamka nitaikutaKinachowagharimu yanga ni kuingia kwenye ligi ya mabingwa wakiwa na visheni ya kuishiq makundi.
Yani bingwa unaingia katika mashindano na mabingwa wanzako unavision za kufeli. Lengo kuu linatakiwe liwe kuchukua kombe. Hayo mengine yabaki matokeo.
Kwa kikosi hikihiki kikibadilishiwa visheni kinauwezo wa kufunga timu zote za haya mashindano.
Al Ahly Anafungwa vizuri tu just wait and seeHawezi mfunga Al Ahly kwake,na anatikwa Ashinde hizo 3 sio kutoa sare yeyote au kufungwa yeyote hapo itakuwa Kwa heri.
Wiki ijayo ni Kwa Madeama
Naiwekea lamination hii replyKama nyie wanaume katoeni draw na Al ahly pale cairo [emoji23]
Makolokolo SC fans hayana hata upeo kutambua matokeo yao leo ni Wachezaji walijitutumua kuonesha wanaweza ili wapate namba kwa Kocha mpya, ndiyomaana walipata sare na Jwaneng Galaxy SC.So ww ndio kwa hii timu yako iliyo choka mwili na akili unaweza kupata matokeo kwa Asec na Wydad...... yaani mnavyo zitiia ugumu mechi za wenzenu ,mtazani nyinyi mna timu ya maana.Kumbe mnajitafuta sasa hivi hata hamjielewi.
Walitaka tufungwe wapate la kusema.Al haly 1 liyanga 1 nimechukia
Ndio ila wakiseto vizuri wanawaweza mbona !Waliomba mechi iishe
Simba ugenini ni kibonde wa hatari, alikuwa anapigwa hamsa ugenini anakuja kuchomoa mechi za kwa Mkapa. Simba ya kuchomoa kwa Mkapa ilishaisha sasa imebakia historia. Tofauti ya Yanga na Simba kwenye haya mashindano ni kuwa, wakati Yanga amrshacheza na wababe wote wa group, Simba Simba bado hajakutana nao.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Akili yako ipo sawa kweli!! Au umelewa?Hii draw kwa yanga haina faida yoyote
Unashabikia al haly au liyangaWalitaka tufungwe wapate la kusema.
Imekula kwao kipindi tunafungwa hao mbwa koko wa simba walifurahi kinoma! Kweli Mungu si jf !Walitaka tufungwe wapate la kusema.
Bwahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa [emoji851]Al haly 1 liyanga 1 nimechukia
Simba vibonde tuSimba ndio mbabe kwenye kundi akiwa na Wydad