Al ahly form yake sio nzuri kipindi hiki,
Ukienda kwake tunaomba sana awe amerejea
Ndio hivyo roho zinawauma.Imekula kwao kipindi tunafungwa hao mbwa koko wa simba walifurahi kinoma! Kweli Mungu si jf !
Waache kukariri Yanga msimu huu tumejipanga vizuri Hatutishikii na Matokeo yale ya MwanzoNdio hivyo roho zinawauma.
Ni suala la muda tu let's wait and seeNamaaanisha kwa rank. Wydad halafu Simba sio kiwango Cha Sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumekaa kuchekana ujinga tu
Hadhi ya mashindano aliyofika fainali Yanga inafanana na mashindano aliyofika robo fainali Simba?Kwa mahesabu ya haraka yanga amecheza mechi mbili za fainali ya Caf confederations na Bingwa wa caf confederations cup na caf super cup na kuwa droo na simba amecheza robo ya caf champions league yupi amezidi kimafanikio ??
Na Takwimu za caf 2022-2023 yanga yupo Kwenye top 5 simba hayupo .
Wewe na caf Nani yupo sahihi ??
Cheki huyu fala alivyokuwa amekuja frontPoleni sana watani. Asanteni kwa kushiriki. Jaribuni tena mwakani.
Ukuta wa YangaNimeona marudio ya goli sasa rasmi nasapoti kwamba Mwamnyeto ni Maguire wa Tz.
Mpira uwanjani nyie pigeni hesabu kwa daftari muoneAcha uzembe ww sisi tuna hesabu zetu
Si mlisema mnatufundisha kucheza champion.Uto mmeona kazi ilivyongumu kuifikia robo
Tunashangilia kusawazisha. Ulitaka tunune Simba ni wapuuzi sanaHahhaah yani mnashangilia drooo hahhahahha
Ndi0Au sio 😁
Hebu amka usingizini, utajikojolea bureeYANGA kwa mjibu wa takwimu za CAF tayari imecheza na timu 2 bora zaidi kuliko yenyewe na MAKOLO lakini tumekusanya point 1.
SIMBA imecheza na timu 2 dhaifu kuliko yenyewe na imekusanya point 2 tu.
ASEC na JWANENG ni underdog kwa SIMBA lakini SIMBA imeshindwa kuonyesha ubora wake.
YANGA ni underdog kwa CRB na AHLY lakini tumeonyesha ushindani mkali kuliko SIMBA
Kwa YANGA yangu tunamfunga H&A Mediama na pia CRB tunamfunga hapa home na tuta atleast draw na AHLY kwa hiyo tuna uwezekano mkubwa wa kutinga robo final.
YANGA tupewe heshima yetu
Yanga mnabeba hili kombeYANGA kwa mjibu wa takwimu za CAF tayari imecheza na timu 2 bora zaidi kuliko yenyewe na MAKOLO lakini tumekusanya point 1.
SIMBA imecheza na timu 2 dhaifu kuliko yenyewe na imekusanya point 2 tu.
ASEC na JWANENG ni underdog kwa SIMBA lakini SIMBA imeshindwa kuonyesha ubora wake.
YANGA ni underdog kwa CRB na AHLY lakini tumeonyesha ushindani mkali kuliko SIMBA
Kwa YANGA yangu tunamfunga H&A Mediama na pia CRB tunamfunga hapa home na tuta atleast draw na AHLY kwa hiyo tuna uwezekano mkubwa wa kutinga robo final.
YANGA tupewe heshima yetu
Aisee ngojeni mnajiona sana halafu tunaenda kusema kwa mama leo ndio mwisho wenu!wakushindaTunashangilia kusawazisha. Ulitaka tunune Simba ni wapuuzi sana
Ligi bado inaendelea au ww ni kichwa maji baridi