FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

YANGA kwa mjibu wa takwimu za CAF tayari imecheza na timu 2 bora zaidi kuliko yenyewe na MAKOLO lakini tumekusanya point 1.
SIMBA imecheza na timu 2 dhaifu kuliko yenyewe na imekusanya point 2 tu.

ASEC na JWANENG ni underdog kwa SIMBA lakini SIMBA imeshindwa kuonyesha ubora wake.

YANGA ni underdog kwa CRB na AHLY lakini tumeonyesha ushindani mkali kuliko SIMBA

Kwa YANGA yangu tunamfunga H&A Mediama na pia CRB tunamfunga hapa home na tuta atleast draw na AHLY kwa hiyo tuna uwezekano mkubwa wa kutinga robo final.

YANGA tupewe heshima yetu
 
Tumekaa kuchekana ujinga tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hadhi ya mashindano aliyofika fainali Yanga inafanana na mashindano aliyofika robo fainali Simba?

Unaelewa kwanini malengo ya Yanga ni kufika makundi Club Bingwa na sio zaidi ya hapo?
 
Hebu amka usingizini, utajikojolea buree
 
Yanga mnabeba hili kombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…