Kuna aibu zaidi ya hii ya leo!? Bahasha hadi mechi ya "siku zenu"!? Pira bovu sijapata ona, mpangilio wa shughuli yenyewe ulikuwa wa ovyo mno yaani nimejuta kupoteza muda wangu kwenye Tv.Simba itaenda kupata aibu ambayo haijawahi tokea
Kuna aibu zaidi ya hii ya leo!? Bahasha hadi mechi ya "siku zenu"!? Pira bovu sijapata ona, mpangilio wa shughuli yenyewe ulikuwa wa ovyo mno yaani nimejuta kupoteza muda wangu kwenye Tv.
Nyinyi mbwa Endeleeeni ku refer mechi zilizopita na tarehe 8 muingie na matokeo yenu mfukoni , sawa ....Wewe kolo ulitimia kikosi chote ukala kono la nyani.
Au unadhani tumesahau.
Huyu bwege sio wa kum quote
Basi nisamehe mimi sikujua kama ww ni shabiki wa jkt oljoro fcKwahiyo Tz ina club 2 tu?
Kwa kweli. 😂😂 hawaaminiPam,oja na kushinda uto hawana furaha!!! Wamegundua majina hucheza kwenye magazeti tu lakini uwanjani hayafui dafu!!
Mimi nadhani friend match pasiwe na refa kabisa.Kwenye Friend match huwezi kutoa kadi kama Unatoa Njugu ili watu watafune...
Refa alitakiwa kujua hilo ni bonanza na sio Match ya Ligi au CAF au FIFA
Walijiona Madrid hawaamini macho yao🤣🤣Kwa kweli. 😂😂 hawaamini
Hawajiamini… mpk wanatumia lugha za kihuni kuwasiliana/ kucomment.
Tukaneni sana mamayo zenu ..tarehe 8 njooni hivyo hivyo na matokeo yenu ya kichwaniBinuka uone kama hatuna confidence
Kumbe kwenye friend matches sheria zinabadilika ?Kwenye Friend match huwezi kutoa kadi kama Unatoa Njugu ili watu watafune...
Refa alitakiwa kujua hilo ni bonanza na sio Match ya Ligi au CAF au FIFA
Tarehe nane Yanga watafungwa na Simba.
Yanga wakipata hata goli moja mnikate Kende.
tuna wasiwasi huenda tayari ulisha-left group kwa pumba hizi
Makolokolo yanateseka namna hii sisi Wananchi kwanini tusinenepe kwa furaha 🤔😁Kwenye Friend match huwezi kutoa kadi kama Unatoa Njugu ili watu watafune...
Refa alitakiwa kujua hilo ni bonanza na sio Match ya Ligi au CAF au FIFA
Leo hii au?Mpira sio visomo
Leo wale jamaaa walikua vizuri idara zoteLeo hii au?