Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
😁😂😂Mbona kama mazombie ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😂😂Mbona kama mazombie ?
Na bado subiria tarehe 8 uone Aibu ambayo mtaipata na hamtoamini.Leo wale jamaaa walikua vizuri idara zote
Naunga mkono hojaGamondi fundi sana kwa kucheza akili na Gongowazi
Yani pale ulipoona kuchezesha timu mzima ili asisomeke lakin kashazijua silaha zake za maangamiz kati ya waliocheza first half na second half
Endeleeni kushupaza shingo eti hamna timu pale ili mje kuukalia vizuri tarehe 8 hapo
Msiseme sikusema
Simu ilikuwa chaji💚💚💚💚Lucas Mwashambwa kiwatengu Tate Mkuu Vincenzo Jr Mwachiluwi Evelyn Salt Madame B mpo wapi?
Situlikua tunashangilia muda ule
Kwani mshalala?🤔
Chaji 😎Vincenzo Jr umejificha wapi?🤔
Dar es salaam siku hizi kukiwa na events huwa haina usikuSAWA TUNAJUA UNAKAA BUNJU, TEGETA, MBWENI, KIGAMBONI AU CHANIKA...TATIZO LINAKUJA NANI ALIKUAMBIA UBAKI MPAKA SASA HIVI...
ASUBUHI TUNAKUHITAJI UFIKE KAZINI MKEO HAUMWI, WALA HAKUNA MGONJWA NYUMBANI FIKA KAZINI MAPEMA...
KAZI IENDELEE
Weka dauNa bado subiria tarehe 8 uone Aibu ambayo mtaipata na hamtoamini.
Kigamboni ipi unaizungumzia maana kigambon ipo Jiran na uwanja WA taifa ukivuka tuu uhasibu, au unaizungumzia kigamboni ya porini huko mwasonga au kimbijiSAWA TUNAJUA UNAKAA BUNJU, TEGETA, MBWENI, KIGAMBONI AU CHANIKA...TATIZO LINAKUJA NANI ALIKUAMBIA UBAKI MPAKA SASA HIVI...
ASUBUHI TUNAKUHITAJI UFIKE KAZINI MKEO HAUMWI, WALA HAKUNA MGONJWA NYUMBANI FIKA KAZINI MAPEMA...
KAZI IENDELEE
Sawa Haina Usiku ila Saa moja na nusu Kesho Uwe umefika Kazini No excuse..Dar es salaam siku hizi kukiwa na events huwa haina usiku
Kigamboni kubwa mzee Ferry na Kivukoni Sio kigamboni Hiyo 🤣🤣Kigamboni ipi unaizungumzia maana kigambon ipo Jiran na uwanja WA taifa ukivuka tuu uhasibu, au unaizungumzia kigamboni ya porini huko mwasonga au kimbiji
Ninyi mna kazi za watu, wakati wengine wana maisha yaoSawa Haina Usiku ila Saa moja na nusu Kesho Uwe umefika Kazini No excuse..
Wananchi Day sio On Job training wala sio warsha Ya Kikazi wala sio Semina...
Sasa ndo tutakomoana Kesho full kuchapana Barua Za onyo La utoro na Uchelewaji Kazini..
Nachora mstari mwekundu kwenye Saa Moja na nusu Net🤣🤣🤣
Ubaya ubwelaGamondi fundi sana kwa kucheza akili na Gongowazi
Yani pale ulipoona kuchezesha timu mzima ili asisomeke lakin kashazijua silaha zake za maangamiz kati ya waliocheza first half na second half
Endeleeni kushupaza shingo eti hamna timu pale ili mje kuukalia vizuri tarehe 8 hapo
Msiseme sikusema
Kwa wenye akili timu hii ni ya kufungwa si chini ya goli nne, ila Gamondi akaamua atembee na falsafa zake
Ubaya Ubwelaaaa..Ninyi mna kazi za watu, wakati wengine wana maisha yao
Yanga Wakitufunga Goli kuanzia 3 Nikatwe Sehemu zangu Za Siri Mkazitupe Mto msimbazi 😅😅..Weka dau
Wageni watakua hawajiMbeleko kama hizi, tena mbele ya viongozi wa nchi..tunaaibishwa mno kama taifa.
Sijasema watu wazione nimesema ZikatweHebu ziweke kabisa hizo nyeti hapa watu wazione
Hiyo ya kwanza tutampa kazi jasusi mmoja matata.Yanga Wakitufunga Goli kuanzia 3 Nikatwe Sehemu zangu Za Siri Mkazitupe Mto msimbazi 😅😅..
Na yanga Wakitufunga Goli kuanzia 2 Mnikumbushe Nihame timu
Unataka kujidhuru polisi wasikujue utahifadhiwaSijasema watu wazione nimesema Zikatwe